Mwenyekiti ACT - Ang'olewa !

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
36,509
Reaction score
45,122
Halmashauri Kuu ya chama cha ACT -Tanzania kimemfukuza madarakani M/Kiti wa chama hicho Mh. Kadawi Limbu na Kumsimamisha kwa muda Naibu Katibu Mkuu ndugu Mahona.


Chanzo: Mwananchi
 
Halmashauri kuu ya chama cha ACT -Tanzania kimewasimamisha uongozi kwa muda M/Kiti wa chama Kadawi Limbu na Naibu Katibu Mkuu ndugu Mahona.

Chanzo: Mwananchi
Hiki chama punde tu kitafutika kwenye uso wa siasa za Tanzania, kinachangia sana kurudisha nyuma juhudi za kuimarisha upinzani wa kweli Tanzania
 
Wapi Mwl Kaijage?? njoo utujuze humu, kulikoni tena mnatimuana timuana wakati muda huu ni wa kujenga chama chenu kichanga?
 
Hicho kilikuwa ni kikao cha halmashauri ya ACT-Zitto au ACT -Limbu?
 
Wawasubiri watakotemwa na magamba huenda itawasaidia nao kuishi.
 
Prof. kashindwa kabisa kukiokoa chama siyo.....!!! kweli sasa nimekubali kwamba chama cha siasa ni zaidi ya vyeti vya darasani.
 
Halmashauri Kuu ya chama cha ACT -Tanzania kimemfukuza madarakani M/Kiti wa chama hicho Mh. Kadawi Limbu na Kumsimamisha kwa muda Naibu Katibu Mkuu ndugu Mahona.


Chanzo: Mwananchi

Hivi hiki nacho ni chama cha siasa hapa Tanzania au ni saccoss ya wasaka tonge ?
 
Last edited by a moderator:
Halmashauri Kuu ya chama cha ACT -Tanzania kimemfukuza madarakani M/Kiti wa chama hicho Mh. Kadawi Limbu na Kumsimamisha kwa muda Naibu Katibu Mkuu ndugu Mahona.


Chanzo: Mwananchi

Dhambi ya usaliti (Ubaguzi) ni kama kula nyama ya mtu! Once msaliti always msaliti!! Huwezi kubaki salama.

Adieu Alliance of Traitors and Cowards - ACT-T; good riddance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…