Hela zipo ila kwangu zimekua siyo kitu tena ndugu yanguuna hela?
Sawa asanteWanasema mazoezi ya mwili yananenga self-esteem, fanya mazoezi itakuletea hali ya kujiamini. Nyanyua uzito jenga misuli utaanza jikubali.
Hela siyo shida, shida ni mwanamke wa kukubaliana na mimi jinsi nilivyo katika hayo mazingira niliyo eleza hapo juu ni nayopitiaMwanaume akiwa na pesa hawezi kosa mwanamke tatizo lako linaanzia hapa.
Hajasema hana mwanamke, anao ila hana mapenzi nao. Tatizo sio wanawake wala pesa. tatizo ni Anxiety na Stress and probably anasumbuliwa na childhood traumas. Solution ya kwanza ni kuongea kila kitu kama alivyosema hapa anatakiwa kukisema kwa mtu anayemheshimu sana kumuogopa. SPEAK IT OU utapona,Mwanaume akiwa na pesa hawezi kosa mwanamke tatizo lako linaanzia hapa.
daaah watu wabaya sana ndugu yangu..wameharibia maisha yangu hivi hivi naona.Tunafanana ila mie ninamashaka ni mkono wa mtu hivyo rudi kilipofukiwa kitovu chako waone wazee wakuogeshe.umenielewa nadhani mtafute mzee mwenye busara kijijini kwenu akupeleke sehemu.maana kuna mtu anaishi maisha yako wewe upo kama kivuli tu
Sidhani kama nina sonona maana hata madaktari wa afya ya akili , kutoka hospitali mbili za rufaa, na hospitali tatu za maspecialist wakubwa tuu. majina na hifazi wameshindwa kunielewa kabisaTafuta mpenzi bro uishi nae hata wiki tu akuchangamshe usije kufa kwa sonona bure
amri Kuu ni upendo lizingatie hiliHabari ya asubuhi ndugu zangu.
Mimi ni kijana wenu mwenye umri wa miaka 30+, sijaoa wala sina familia na pia sina mwanamke yeyote wa kudumu,nakuja hapa kuomba kwenu ushauri wa kina juu ya haya mazingira ninayo ya pitia maana yamekua tishio kwa maisha yangu sasa na siku za usoni ndugu zangu, nisaidie kijana wenu
NIMEKUA NIKIKUMBANA NA MAZINGIRA HAYA NDUGU ZANGU
1: kuhisi upweke sana moyoni kiasi cha kujiona siyo binadamu wa kawaida
2: Napatwa na hisia za uchungu na hasira hali inayo pelekea kuhisi kama nataka kulipuka flani hivi. ( Yani kunakua na kitu kama natakiwa nikitapike au ni kipasue ndani ya moyo wangu kitoke niwe salama)
3: Mwili wangu na akili umechoka sana mpaka na jihisi mwili hauna energy ya kutosha na akili kuzimia
4: Nimekua ni kihema sana na kutoa hewa kwa nguvu ili mwili urelax
5: Nimekua mtu wakukosa amani moyoni kabisa ndugu zangu niwe kazini, niwe nyumbani au hata kwenye mikusanyiko ya watu
6: Sina marafiki wa kudumu hata mmoja kwa sasa na kuchangamana na watu najikuta tuu automatically hata nikiwa na watu bado nakuwa mpweke sana.
7: Sina furaha kabisa , japo na fake sana furaha ila kiukweli mimi sinaga furaha hata kidogo tuu
8: Nime kuwa ni mtu wa kuhisi na kuona imagination za matukio ya kutisha tisha na ya hatari tupu ndugu zangu kama ajali, vifo, mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu na manyanyaso makali , pamoja na vitendo vya kikatili sana kwa binadamu na wanyama
9: Nimekua ni mtu wa kukosa usingizi kabisa, japo mwili unataka muda wote uwe umelala tuu
10: Macho yangu ya mekua angavu sana inafika mahali nakua kama mtu mwenye kusinzia sana
HATUA NILIZO JITAHIDI KUZICHUKUA KUKABILIANA NA MAZINGIRA HAYO ILA ZIKAGONGA MWAMBA
1: Nilienda hospitali ya Rufaa nikakutana na wataalamu wa afya ya mwili nikawaelezea jinsi nilivyo, wakanielekeza kwa wataalamu wa afya ya akili ila niliishiwa kupewa dawa kama "amitrilia" na zikagonga mwamba baadae nilihamishiwa kwa specialist mmoja na kunipa dozi ya vidonge vya "phenobabiton"
2: Dawa zao ziligonga mwamba zote na madaktari wakanionyesha kukata tamaa na mimi japo hawakuniambia ila mazungumzo yao yalionyesha hivyo, waliingia mpaka library zaidi ya madaktari tano ila waliishia kuniambia katumie hizo dawa tuu na uombe sana.
3: Nimejitahidi kwenda kwenye maombi ila naona huko wananichanganya sana , kila mtumishi anaongea lake .
4: Nimejitahidi kujichanganya kwenye gym na viwanja vya mazoezi , pamoja na kupiga mazoezi makali sana ila hakuna badiliko chanya bado nipo hivyo hivyo
Ndugu zangu naombeni ushauri na msaada wenu nifanyaje ndugu zangu.
Asanteni
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tafuta mwanamke akupinye usiwe mbishi sisi madaktari wa Jf ndo tunakwambiaSidhani kama nina sonona maana hata madaktari wa afya ya akili , kutoka hospitali mbili za rufaa, na hospitali tatu za maspecialist wakubwa tuu. majina na hifazi wameshindwa kunielewa kabisa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
fanya meditation,mazoezi na kabangi kwa mbaliHela zipo ila kwangu zimekua siyo kitu tena ndugu yangu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndiyo choice niliyo bakiwa nayo sasa hivi mkuu, kweli na fikiria sana kutumia madawa ya kulevya na pombe kali, na ndipo akili inapo nituma sasa.Utakuwa na depression+ anxiety disorders.....Jaribu ganja kuna kipindi nilipitia frustrations, hata kulala nilikuwa.... siwezi ndio ikaniokoa, mpaka leo naiheshimu ganjaView attachment 2653381
daaahKwahiyo hali yako usioe sasa hivi otherwise hali itazidi na utakuwa unajiongelesha mwenyewe popote ulipo.
Wewe ni mfupi?Hela siyo shida, shida ni mwanamke wa kukubaliana na mimi jinsi nilivyo katika hayo mazingira niliyo eleza hapo juu ni nayopitia
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hela siyo shida kwangu, nimefikia mahali hata kuamka niende kazini muda mwingine na puuza tuu na kuwa mtoro mtoro kazini maana naona hela siyo kitu tena cha maanaTafuta pesa kwanza. Kisha utaona huna upweke, huna mawazo na unapata demu wa kueleweka.
We nae akili hauna, kasrma kijana na hajaoa we uko bize kuuliza jinsia. Jf imebeba low IQ wengi sanajinsia yako na vipi mahusiano yako unampenzi vipi umri?
Kuanza kujiongelesha mwenyewe na kujijibu mwenye hiyo hatua nimesha fikia..Kwahiyo hali yako usioe sasa hivi otherwise hali itazidi na utakuwa unajiongelesha mwenyewe popote ulipo.