mkuu kujua ni jambo muhimu sana ili kuangalia na kufanya analysis ajira sio msaada unaprovide input na mshahara ni output kwang mimi vitu muhimu kwangu ni mshahara plus je hiyo sehemu itaikuza career yangu kama unajua itakuwa vyema ukinisaidiaAbdul2002 usiwaze wewe nenda kapige kazi mishahara utapanda mbele kwa mbele
TPSC ndo ipi hiyo mkuu, au ile Tanzania Public Service College? Na mshahara unaoulizia ni kitengo gani?Habari wakuu mwenye uzoefu wa mishahara na benefit nyingine za TPSC zipoje atleast hint kidogo