Mwenye uwezo wa ku track simu msaada

Mwenye uwezo wa ku track simu msaada

kadurijr

Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
23
Reaction score
19
Habar wakuu niko Arusha nilipata mtihani wa kuibiwa simu aina ya redmi note 9s kwa mwenye uwezo wa ku track ama mwenye kufahamiana na mtu wa aina hyo msaada tafadhali.
 
Mkuu upo Arusha sehemu gani? Kama unaweza njoo Pm nikupe maelekezo
 
Kama una IMEI number za hio simu nenda nazo polisi watakusaidia. Huku kwingine probability Ni 50% 50%
 
Habar wakuu niko Arusha nilipata mtihani wa kuibiwa simu aina ya redmi note 9s kwa mwenye uwezo wa ku track ama mwenye kufahamiana na mtu wa aina hyo msaada tafadhali.
Habar mkuu vp ushapata msaada au ? kama hujapata niPm tufanye kazi
 
Hzo habari za Imei # toa hakirin mkuu, Inaeza kubadilishwa simpletu ma brocka wa IT wapo mtaan na wanyabi wengine wanazichench chap

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kubadilisha IMEI number inawezekana very simple kwa anaefahamu, Ila sio kwa WEZI wa Tanzania na Afrika kwa ujumla hasa hawa wezi wa mtaani. Naamini hao vibaka hawawezi kubadili IMEI 😊
 
Me sina hamu na vibaka wa bongo aisee, niliibiwa simu mwaka Jana mwezi wa 8 trh 23 nimekuja kuipata mwaka huu mwezi wa 3 trh 10

Wanaizima Kwa muda mrefu kidogo ili kukukatisha tamaa ya kuifatilia, ata kama ulikuwa na moto kiasi gani utaanza ratiba za simu ingine Tu, na kama issue ilikuwa ni vitu ndani ya simu unakuwa ushaghairi ata kuvipata

Haiwezekani uendelee kuiwazia simu ambayo haipo hewani Kwa miez 4, kila ukimuuliza poti anakwambia Ngoma haisomi brooo kuwa mvumilivu, ukikata tamaa wewe anakata tamaa na mfatiliaji pia, au ukikata tamaa wewe poti anaendelea kuifatilia kimya kimya then inakuwa Mali yake
 
Me sina hamu na vibaka wa bongo aisee, niliibiwa simu mwaka Jana mwezi wa 8 trh 23 nimekuja kuipata mwaka huu mwezi wa 3 trh 10

Wanaizima Kwa muda mrefu kidogo ili kukukatisha tamaa ya kuifatilia, ata kama ulikuwa na moto kiasi gani utaanza ratiba za simu ingine Tu, na kama issue ilikuwa ni vitu ndani ya simu unakuwa ushaghairi ata kuvipata

Haiwezekani uendelee kuiwazia simu ambayo haipo hewani Kwa miez 4, kila ukimuuliza poti anakwambia Ngoma haisomi brooo kuwa mvumilivu, ukikata tamaa wewe anakata tamaa na mfatiliaji pia, au ukikata tamaa wewe poti anaendelea kuifatilia kimya kimya then inakuwa Mali yake

Mi ni mwezi wa tatu huu mwanzoni nilikuwa nikiingia kwenye mi cloud wanasema device is switched off
 
Back
Top Bottom