Mwenye ufahamu kuhusu special diploma UDOM

Mwenye ufahamu kuhusu special diploma UDOM

WIZ KID

Senior Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
135
Reaction score
4
Jamani tuliotuma maombi ya special diploma UDOM tunaweza pewa nafasi ? Au wanatosha wale form 4 waliochaguliwa direct kusoma hiyo diploma, msaada please!
 
kile chuo huwa hakijai hata siku moja Mwaka jana wakichaguliwa 15000 special diploma lakini waliojiunga ni 5000-7000 nasikia wengine hawakupata taarifa hivyo basi kama uliomba na unasifa tembelea website ya chuo UDOM-WEB pale juuu mkono Wa kulia utaona waliochaguliwa special diploma click pale
 
kile chuo huwa hakijai hata siku moja Mwaka jana wakichaguliwa 15000 special diploma lakini waliojiunga ni 5000-7000 nasikia wengine hawakupata taarifa hivyo basi kama uliomba na unasifa tembelea website ya chuo UDOM-WEB pale juuu mkono Wa kulia utaona waliochaguliwa special diploma click pale

Asante mkuu. ngoja nifanye ivo
 
mkuu kule majina ya watu ambao walituma maombi selection bado coz kila nikijaribu kutafuta siyaoni. napale kuna walio chaguliwa diploma nyingine tu ila special diploma education majina hamna . labda kama nashindwa kutafuta naombeni wakuu mniwekee link niangalie
 
kile chuo huwa hakijai hata siku moja Mwaka jana wakichaguliwa 15000 special diploma lakini waliojiunga ni 5000-7000 nasikia wengine hawakupata taarifa hivyo basi kama uliomba na unasifa tembelea website ya chuo UDOM-WEB pale juuu mkono Wa kulia utaona waliochaguliwa special diploma click pale

Mkuu hivi inakuwaje juu ya form za 2015/2016 jr zitatolewa au bado? Na je issue za mikopo zinakuwaje?
 
Jamani tuliotuma maombi ya special diploma UDOM tunaweza pewa nafasi ? Au wanatosha wale form 4 waliochaguliwa direct kusoma hiyo diploma, msaada please!

Naomba nikueleze kuwa hata mdogo wangu aliomba moja kwa moja chuoni udom hiyo Diploma maalum mwaka huu lakini wiki iliyopita tulitumiwa taarifa kuwa kozi hiyo ilikuwa inaombwa kupitia NACTE na siyo chuoni. hivyo kama uliomba kupitia chuoni usisubiri kuchaguliwa labda kama uliomba kozi nyingine tofauti na special Diploma. kwa bahat nzuri tu huyu mdogo wangu alienda advance kwa kutegeshea maana ingekuwa shida. kwa maelezo zaidi ntakuwekea namba waliyotoa kwa mawasiliano zaidi
 
mkuu kule majina ya watu ambao walituma maombi selection bado coz kila nikijaribu kutafuta siyaoni. napale kuna walio chaguliwa diploma nyingine tu ila special diploma education majina hamna . labda kama nashindwa kutafuta naombeni wakuu mniwekee link niangalie

Kama ulituma maombi chuoni mkuu usisubiri kuchaguliwa wamesema kozi hiyo hawakuitangaza ila ilikuwa inaombwa moja kwa moja kupitia NACTE. mdogo wangu alitumiwa sms na uongozi wa Udom wiki iliyopita wakimshauri aombe kupitia NACTE au abadili kozi kitu ambacho ni tatizo
 
Naomba nikueleze kuwa hata mdogo wangu aliomba moja kwa moja chuoni udom hiyo Diploma maalum mwaka huu lakini wiki iliyopita tulitumiwa taarifa kuwa kozi hiyo ilikuwa inaombwa kupitia NACTE na siyo chuoni. hivyo kama uliomba kupitia chuoni usisubiri kuchaguliwa labda kama uliomba kozi nyingine tofauti na special Diploma. kwa bahat nzuri tu huyu mdogo wangu alienda advance kwa kutegeshea maana ingekuwa shida. kwa maelezo zaidi ntakuwekea namba waliyotoa kwa mawasiliano zaidi

Naomba hiyo namba mkuu
 
Dead line za nacte mwisho tarehe 16...oct kwahiyo subiri wiki mojaa baada ya dead line watatoaa majinaa kuwa mvumilivuu maana nacte,,, huwa wapo very slow
 
Special diploma wanachaguliwa nacte na walishamaliza kuhusu hilo taarifa iliyopo udom web ni mwanafunzi kuthibitisha tu kujiunga na chuo lbd ssa kwa wale ambao hawatathibitisha nafac watapewa wengin,,, mkopo kwa hao jamaa ni lazma
 
jamani kama yupo aliye tuma maombi ya special diploma udom na ame chaguliwa naomba namba ake tuwaasiliane
 
Special diploma wanachaguliwa nacte na walishamaliza kuhusu hilo taarifa iliyopo udom web ni mwanafunzi kuthibitisha tu kujiunga na chuo lbd ssa kwa wale ambao hawatathibitisha nafac watapewa wengin,,, mkopo kwa hao jamaa ni lazma

Kwani profile yako ya nacte haionyeshi kwamba umechaguliwa?
 
Naomba hiyo namba mkuu

Kama uliomba moja kwa moja koz ya diploma in secondary teacher education, piga namba 0262310000 kwa maelekezo zaidi. ila kama uliomba koz zingne unaweza kuwa umechaguliwa
 
Kama uliomba moja kwa moja koz ya diploma in secondary teacher education, piga namba 0262310000 kwa maelekezo zaidi. ila kama uliomba koz zingne unaweza kuwa umechaguliwa

tatizo hiyo namba kila nikipiga hua haipokelewi
 
Back
Top Bottom