Mwenye Uelewa Kuhusu Bundle Pricing za Halotel

Mwenye Uelewa Kuhusu Bundle Pricing za Halotel

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,321
Reaction score
13,765
Ninaomba mtu yoyote mwenye uelewa na Bundle pricing hasa ya University offer aniletee bei zao Na pia List ya Vyuo walivyoanza navyo itakua vizuri zaidi. Pia siyo mbaya ukaniambia mema na mabaya yao .Nimechoka huku niliko!
 
Ninaomba mtu yoyote mwenye uelewa na Bundle pricing hasa ya University offer aniletee bei zao Na pia List ya Vyuo walivyoanza navyo itakua vizuri zaidi. Pia siyo mbaya
ukaniambia mema na mabaya yao .Nimechoka huku niliko!
Halafu halotel wabovu kweli. Hawajitangazi! Nimewacheki kwenye internet wapo lakini ni matangazo tu kwamba wanaanza shughuli tanzania.Bundle zao na bei na codes zao za vmoney hata mimi nataka kufahamu.
 
Ukiweka simcard yao ..kuna icon itatokea kwenye simu yako kila kitu kimo humo.
 
bundle ya chuo mpaka uwe na sim ya chuo na lazima uisajili kwa kutumia kitambulisho cha chuo je vigezo hivyo unavyo kama ndiyo piga *148*55# kupata vifurushi unavyotaka asante karibu Halotel
 
Halotel ni wavivu wa kufikiri, hiyo university offer nikweli ililenga wanafunzi wa vyuo lakini tigo wakataka kuleta habari za vitambulisho , na kufikia kuwazuia wasio wanavyuo, baada ya hapo biashara ilishuka, waka amua kuichia kwa watu wote hata wasio wanavyuo..ushauri wangu kwenu halotel bado ni wachanga sana kibiashara japokuwa mna miundombonu mizuri ya mawasiliano, tafuteni kitu kipya kitakachoweza kununulika kwa watu wote, tigo sio kama wanahuduma nzuri ila gharama zao ni nafuu na wabunifu sana kwenye huduma zao ndio maana wanawateja wengi...
 
Halotel ni mtandao mbovu kweli. Website yao fyongo sana.
 
Wote mmeshindwa kunishawishi inabidi nibaki huku huku MTN
 
Yaaani mimi huwezi kunishawishi nitoke Halotel internet yao ni kasi mnooo
 
mda mwingne tusiwe tu tunaangalia ma speed... mtandao ukiwa na speed ila bundle mbovu bas hauna maana
 
Back
Top Bottom