Biashara ya gym ilikua enzi za mkwere sasa hv maisha ni gym toshaNdio mkuu. Gym ni upotezaji wa pesa tu. Unakuta mtu anakwenda gym laki 5/month ila anapolala pachafu kama dampo.
Binafsi nimeamua kudamka saa 10 alfajiri kila siku na kufanya yafuatayo kabla ya kwenda kazini.
1. Kufua nguo,
2. Kukimbia kwa dakika 30;
3. Kufagia uwanja na kumwagilia bustani ya mboga & maua;
4.:kuosha gari.
Baada ya haya yote ndo nioge ninywe chai niwahi kibaruani.
** Yote hayo nayafanya kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 12 alfajiri ifikapo saa 12:30 asubuhi nipo kazini napiga kazi nikiwa fresh bila kulipia GYM
NB: ya nn kupoteza pesa wakati nyumbani kwako una shughuli za mikono za kukutoa jasho!