Tangazo la nini ?jiandae kujibu maswali tu, usisahau kubeba dictionary...
Angekuwa amesave angeomba hapa wadau wamsaidie?au unajiongelesha tu!!Kuna hukusave kwenye flash au floppy disc?
Uliomba mwezi gani ili tupekue Documents ila hata kama na mwezi hukumbuki sasa msaada utakuwa mdogo,,,, pamoja na hivyo nakushauri kufanya kosa si kurudia kosa ...jaribu kuwa unatunza barua zako za copy pale unapoomba kazi maana kazi za TZ unaweza ukaomba mwaka 2007 ukaitwa interview mwaka 2011 na bado ukakosa kazi,
Wakuu leo nimepigiwa simu ya kuitwa kwenye interview TPDC ila kwa sababu nimetuma application nyingi nimesahau tangazo lao. mwenye nalo naomba anitumie
Kaka we kula desa kwa nguvu ufanye usaili,naamini haitakuwa executive interview.ndugu mi nimepigiwa cm tu ckumbuki tangazo la lini that y naomba msaada. tatizo hata nafasi aliyenipigia cm akuniambia though najua itakuwa uhasibu au ukaguzi wa hesabu.Nimefanya aplication nyingi sana ndugu
nashukuru kwa ushauri wenu wadau..tupo pamoja