Mengine sijui, Kama unaqualification isiweke mawazo ya kujuana...kwa hizi nafasi hakuna kama hicho. Watz tupunguze kuweka mawazo kwamba kuna kujuana. Kinachomata ni uzoefu na qualifation zako. na kama ukibahati kuitwa utakavojibu maswali yao bila kutetemeka.....
Mimi sifanyi kazi RUBADA ila niliwapigia tu kujua what is going on maana namba zao ziko kwenye mtandao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.