Mwenye taarifa kuhusiana na RUBADA

Mwenye taarifa kuhusiana na RUBADA

kipuli

Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
16
Reaction score
0
Ivi wadau hamna mwenye news kuhusu hawa watu? Mbona mmekuwa kimya sana?
 
Hawajaita. Kwa taarifa za hapo hawajaita baada ya kuwapigia simu kuulizia
 
Nashukuru mdau, na hawajakuambia ni lini wataita, ivi hawa na wenyewe ni ishu zakujuana au wako fair?
 
Nashukuru mdau, na hawajakuambia ni lini wataita, ivi hawa na wenyewe ni ishu zakujuana au wako fair?

Mengine sijui, Kama unaqualification isiweke mawazo ya kujuana...kwa hizi nafasi hakuna kama hicho. Watz tupunguze kuweka mawazo kwamba kuna kujuana. Kinachomata ni uzoefu na qualifation zako. na kama ukibahati kuitwa utakavojibu maswali yao bila kutetemeka.....
Mimi sifanyi kazi RUBADA ila niliwapigia tu kujua what is going on maana namba zao ziko kwenye mtandao.
 
Back
Top Bottom