Simu yako ni aina gani? Ni pm ni mpya ila itachukua 14 days,bei ni elfu 35000.malipo ikifika
Nahitaji hizo stylus pen kama kuna mtu anajua zinauzwa wapiI am not interested.
Kuna stylus pen nilikuwa nilichukua 5,000 tu ila now imepotea.
Na kuna jamaa alikuwa anaziuza humu jf kwa bei hyo kitambo kdgo, cjui yuko wap kwa sasa.
Ya sim ganNahitaji hizo stylus pen kama kuna mtu anajua zinauzwa wapi
S10+Ya sim gan
Ambayo ni multi-purpose Kwa simu zoteYa sim gan
Ninayo ya Samsung note 4 bt nilikuwa naitumia kwenye note 5Ambayo ni multi-purpose Kwa simu zote
S 10+ ?S10+
Inauzwaje Kwa dukani kwasababu nahitaji kununua mpya kabisaNinayo ya Samsung note 4 bt nilikuwa naitumia kwenye note 5