Nimepata sehemu Pumba za mchele na mahindi zinazalishwa sana. Japo zinauzwa lkn bei ipo chini ukilinganisha na sehemu zingine. Kwa yeyote anaeyajua masoko ya kitu hii iwe hata nje ya nchi anitafute
Nimepata sehemu Pumba za mchele na mahindi zinazalishwa sana. Japo zinauzwa lkn bei ipo chini ukilinganisha na sehemu zingine. Kwa yeyote anaeyajua masoko ya kitu hii iwe hata nje ya nchi anitafute