Mwenye mkataba wa uchimbaji madini ya URANIUM

Godwine

JF-Expert Member
Jan 15, 2010
1,371
281
wajumbe kama kuna mtu anayefahamu mkataba au vipengele vya mkataba wa uchimbaji wa madini ya uranium naomba auweke ubaoni kwa ajili ya kujadiliwa
 
wajumbe kama kuna mtu anayefahamu mkataba au vipengele vya mkataba wa uchimbaji wa madini ya uranium naomba auweke ubaoni kwa ajili ya kujadiliwa

Mkataba bado hujasainiwa na wala kibali cha kuchimba bado hakijatoka
 
Mkataba bado hujasainiwa na wala kibali cha kuchimba bado hakijatoka
Si nilisikia Pinda alipata wawekezaji wa kihindi ndo wanatarajiwa kupewa!Nadhani katika makosa makubwa tutakayofanya ni kuruhusu kuchimba haya madini hatari tena na 'Mhindi'. Tutakuwa tunaangamiza taifa hili kwenye ramani ya dunia. Kama wajapani na nchi za magharibi wameshaanza mipango ya kuzima mitambo yao ya kurutubisha kwa sababu ya madhara yake sisi ni nani hata tudhubutu kuanzisha miradi hatari kama hii.Anyway mie si mtaalam lakini wasiwasi mkubwa upo kwenye kuhandle miradi hatari kama hii kama tu wawekezaji wa dhahabu isiyo na madhara ya direct wameleta madhara makubwa kwa wananchi mfano huko North Mara, je ni nini kitabadilika katika utendaji wetu ili tuwe na uwezo wa kuhandle vitu hatari kama hivi. Tutajuta na watoto wetu watakao zaliwa vilema watatulaani. Waulizeni wajapani madhara yake, wana uchumi mzuri lakini leo hii hawana raha na maisha!Nadhani tunaweza kutumia vyanzo vingine kupata nishati ya umeme lakini siyo nuclear. Handling ya vitu hatari kama hvi inahitajika serikali ya wananchi siyo serikali hii tuliyonayo ya kifisadi ambayo haijali watu kufa kwa sababu ya kupata fedha na kukumbatia wawekezaji. Nadhani hata mataifa yanayotutakia mema hayatakubaliana na mradi huu kamwe!Nawakilisha.
 
Mkataba bado hujasainiwa na wala kibali cha kuchimba bado hakijatoka
Si nilisikia Pinda alipata wawekezaji wa kihindi ndo wanatarajiwa kupewa!Nadhani katika makosa makubwa tutakayofanya ni kuruhusu kuchimba haya madini hatari tena na 'Mhindi'. Tutakuwa tunaangamiza taifa hili kwenye ramani ya dunia. Kama wajapani na nchi za magharibi wameshaanza mipango ya kuzima mitambo yao ya kurutubisha kwa sababu ya madhara yake sisi ni nani hata tudhubutu kuanzisha miradi hatari kama hii.Anyway mie si mtaalam lakini wasiwasi mkubwa upo kwenye kuhandle miradi hatari kama hii kama tu wawekezaji wa dhahabu isiyo na madhara ya direct wameleta madhara makubwa kwa wananchi mfano huko North Mara, je ni nini kitabadilika katika utendaji wetu ili tuwe na uwezo wa kuhandle vitu hatari kama hivi. Tutajuta na watoto wetu watakao zaliwa vilema watatulaani. Waulizeni wajapani madhara yake, wana uchumi mzuri lakini leo hii hawana raha na maisha!Nadhani tunaweza kutumia vyanzo vingine kupata nishati ya umeme lakini siyo nuclear. handling ya vitu hatari kama hvi inahitajika serikali ya wananchi siyo serikali hii tuliyonayo ya kifisadi ambayo haijali watu kufa kwa sababu ya kupata fedha na kukumbatia wawekezaji. Nadhani hata mataifa yanayotutakia mema hayatakubaliana na mradi huu kamwe!Nawakilisha.
 
The State Nuclear Energy Corporation Rosatom is strengthening its positions among the leading uranium producers. The "Atomredmetzoloto" Holding (ARMZ), which is the Rosatom enterprise, has acquired 100 percent of shares in the Australian Mantra Resources Limited Company, which owns a big uranium deposit in Tanzania.
The ARMZ Holding, which is among the 5 world leaders in terms of uranium extraction and which ranks second in the size of its raw material base, will pay more than one billion dollars to the Mantra Resources shareholders. This deal will enable the ARMZ holding to add the Tanzanian Mkuju River Deposit to its assets. The Mkuju River reserves are estimated at around 40,000 tons of uranium. There're plans to build a uranium-extracting enterprise as part of this project, which at its initial stage will extract 1,400 tons of raw materials annually. Besides the Mkuju River Deposit, the Australian company owns several areas of undiscovered deposits of uranium, which is regarded as a strategic resource, on the territories of Tanzania and Mozambique, and they are expected to prove promising enough.
The attractiveness of the Tanzanian deposit is in its low cost price of uranium extraction. The purchase of a package of shares in the Mantra Resources Limited Company will broaden the potential of the ARMZ Holding as one of the major supplier of uranium for the Russian nuclear industry. The economic benefits from this deal will be very high, the Editor-in-Chief of the portal Atomic-energy.ru Pavel Yakovlev said.
"As is known, projects in Africa, especially in Nigeria, Tanzania and Namibia are relatively cheap for development and economically effective. This purchase will enable the Russian ARMZ Holding to strengthen its international presence by developing not only the markets of Russia, Kazakhstan, Canada, and Australia, but also Africa's markets. We know that the former Soviet Union also had strategic interests in Africa. Now the ARMZ Holding has several projects in African countries. It is possible to say today that that the Russian Holding is on its way to the leading position. And very soon, thanks to the increasing demand for uranium in China and India, this will become clearly visible."
The purchasing of the assets of the Australian Mantra Resources Limited Company and the consolidation by the ARMZ Holding of the shares of the Vancouver-based uranium-extracting company Uranium One are two parallel processes. On December 14th, a decision was taken in Moscow to set up the Russia-Mongolia Joint Venture, Dornod Uranium. The basic investments in this project have reached 300 million dollars. Next year the Russia-Mongolia Joint Venture Dornod Uranium may begin uranium extraction on Mongolia's territory.
On Rosatom's plans is the further broadening of uranium extraction outside Russia. Big investments in the projects abroad as well as the extraction of uranium in Russia will enable the State Nuclear Energy Corporation Rosatom to become one of the key players on the world uranium market.(The Voice of Russia )Unaweza kuipata hapa pia New Uranium Mining Projects - Africa ,ARMZ Uranium Holding to Acquire 100% of Australian Company Mantra Resources)
 
kuna wenye projection ata serikali inatakiwa kupata asilimia ngapi ya faida?
 
wajumbe kama kuna mtu anayefahamu mkataba au vipengele vya mkataba wa uchimbaji wa madini ya uranium naomba auweke ubaoni kwa ajili ya kujadiliwa
Bila shaka Baba Riz anao, hebu mcheki anawezakupa copy!
 
the Australian Mantra Resources Limited Company, which owns a big uranium deposit in Tanzania. The ARMZ Holding, which is among the 5 world leaders in terms of uranium extraction and which ranks second in the size of its raw material base, will pay more than one billion dollars to the Mantra Resources shareholders.


Inavyoelekea madini yeshamilikishwa kipumbavu. Tuombe Mungu hili shirika la Australia lilipopewa hilo eneo wakuu wetu 'walikumbuka' kuweka kipengee kuwa wamepewa kwa madini ya dhahabu tu. Otherwise, wana haki zote. Hii Bongo inaongozwa na bongo lala. Watu waliokwenda shule kucheza halaiki tu! Sasa kampuni hiyo ya Australia inauza eneo hilo kwa kampuni ya Kirusi ambayo inalipa dola bilioni moja- hakuna hata senti katika hizi zitakwenda Tanzania.
Tofauti yake angalia Uganda walivyolitimua kampuni la Uingereza lililotaka kufanya mchezo kama huo katika eneo la kuchimba mafuta ililolihodhi. Ama kweli,Bongo ni kichwa cha mwendawazimu !
 
I hate this portion of the attached report. "As is known, projects in Africa, especially in Nigeria, Tanzania and Namibia are relatively cheap for development and economically effective." Hivi viongozi hawasomi haya? Hata wawekezaji wanaweza kuto single out kuwa sisi ni watu wa kugawa kirahisi rahisi? Bado hapo tunawaondolea kodi kwa miaka mitano tunaondoa kodi ya mafuta nk nk.

Hivi hawa wanaosimamia serikali HAWAONI AIBU?


 
I hate this portion of the attached report. "As is known, projects in Africa, especially in Nigeria, Tanzania and Namibia are relatively cheap for development and economically effective." Hivi viongozi hawasomi haya? Hata wawekezaji wanaweza kuto single out kuwa sisi ni watu wa kugawa kirahisi rahisi? Bado hapo tunawaondolea kodi kwa miaka mitano tunaondoa kodi ya mafuta nk nk.

Hivi hawa wanaosimamia serikali HAWAONI AIBU?


nadhani ni wakati wa kufanya kitengo huru cha usimamizi wa mipango ya taifa na si kiwe chini ya wizara fulani kwani kwenye mikataba tunaona jinsi mawaziri wanavyotuangusha na kwenye kodi naona maofisa wa TRA wanavyoshiriki kuwasaidia kukwepa kodi


cha msingi ni tuanze kunufaika na gesi na madini yetu ya uranium kwani madini mengine yameuzwa kijinga
 
Back
Top Bottom