Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,964
- 5,552
Hapo vip!
Ipo hivi Simba ndio mzaliwa wa kwanza wa soka au mpira wa football hapa Tanzania,Afrika mashariki na kati.
Simba ndio timu peke iliyopo na ambaya imefika na kufauluvkuingia kwenye top ten za CAF kwa miaka yote ila yanga tokea dunia iumbwe haijawahi kuingia kwenye top ten za CAF.
Club kubwa ni club ambayo ni bora katika bara lake kwa ubora na ukubwa na sio kwenye makombe ya mbuzi ya kupeana kisiasa na kijanjanja.
Sasa ipo hivi kwa ukubwa wa Simba Afrika na Dunia,ni wazi na nikweli yakwamba ndio mzaliwa wa kwanza wapira Tanzania. Na ukubwa wa Mpira sio tarehe ya kuanzishwa kwasababu hata pamba,coastal union ilianzishwa kabla ya Azam,Belaizdad,mamelod sundown n.k ili pamba na coastal ni vitu vidogo sana dhidi hizo tajwa hapo juu.
Sasa ipo hivi yanga anafeli kwasababu amekuwa mpumbavu kutomuheshimu mzaliwa wa kwanza wa mpira ndani ya nchi hii ambayo ni Simba.
Ipo hivi Simba asipofika robo,nusu au final yanga hawezi kufanikiwa maisha yake yote.Mwenye ufunguo wa mpira wa Tanzania ni Simba.
Ipo hivi Simba ndio mzaliwa wa kwanza wa soka au mpira wa football hapa Tanzania,Afrika mashariki na kati.
Simba ndio timu peke iliyopo na ambaya imefika na kufauluvkuingia kwenye top ten za CAF kwa miaka yote ila yanga tokea dunia iumbwe haijawahi kuingia kwenye top ten za CAF.
Club kubwa ni club ambayo ni bora katika bara lake kwa ubora na ukubwa na sio kwenye makombe ya mbuzi ya kupeana kisiasa na kijanjanja.
Sasa ipo hivi kwa ukubwa wa Simba Afrika na Dunia,ni wazi na nikweli yakwamba ndio mzaliwa wa kwanza wapira Tanzania. Na ukubwa wa Mpira sio tarehe ya kuanzishwa kwasababu hata pamba,coastal union ilianzishwa kabla ya Azam,Belaizdad,mamelod sundown n.k ili pamba na coastal ni vitu vidogo sana dhidi hizo tajwa hapo juu.
Sasa ipo hivi yanga anafeli kwasababu amekuwa mpumbavu kutomuheshimu mzaliwa wa kwanza wa mpira ndani ya nchi hii ambayo ni Simba.
Ipo hivi Simba asipofika robo,nusu au final yanga hawezi kufanikiwa maisha yake yote.Mwenye ufunguo wa mpira wa Tanzania ni Simba.