Hali zenu JF!
Yaani nmekua napata usumbufu kweli.
Huyu fundi muda mwingi ananidanganya sana. Kitabu nlipewa cha lugha ya Japanes....nakua nashindwa kuelewa vizuri.
Naomba alie nacho nikakipigishe photocopy au aniuzie kama akiweza!.
Kila mahala kichwa kinauma, yaan......!!!!!!!!
Nataabika!