Mimi kwa sasa sielewi, hawa chadema wamejitoa au hawajajitoa? km hawajajitoa ni ugumu gani wanaoupata wa kutueleza wananchi ni nn haswa ni hatima yao juu ya huu mchakato? tumesikia jana warioba anaendelea kuunda mabaraza na wao wapo kimya. Hiyo kamati kuu tuliyoambiwa itakaa hatuisikii inakaa lini na muda unakwenda tu.
Kama kuna mtu anajua lolote kuhusu muelekeo wa chadema na mchakato huu naomba anijuze,
Kama kuna mtu anajua lolote kuhusu muelekeo wa chadema na mchakato huu naomba anijuze,