wasaa9
JF-Expert Member
- Jun 9, 2017
- 566
- 209
Hujui ata Sera n nn...Sera kuhusiana na nini?
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Hujui ata Sera n nn...Sera kuhusiana na nini?
akili yako sawa na techno yakoLazima uwe mchaga kwanza
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Tutaenda ikulu kwa huruma ya Watanzania.Salaam kwenu,
Kila mtu anajua siasa ila si wote wanatambua mahitaji ya siasa za upinzani. Nimesema hili ili kila mtu atoe anavyoona juu ya hili. Sijaandika ili kufanya siasa za upande ila nimeangalia zaidi kwa upinzani, ili tupate mwanga wa nini kinaendelea ndani ya vyama vyetu.
Katika kitu ambacho sahizi kinasumbua watu wengi hasa wasomi ni sera na falsafa ya maendeleo ya vyama vya upinzani hapa Tanzania.
Sera inaweza kuwa ya muda mfupi na muda mrefu. Maranyingi sera za muda mrefu ndo zinazosaidia sana kukuwa kwa chama na kukuza makada wa chama. Hii ina maana kuwa hakuna kiongozi au mwanachama atasimama bila kuongea hicho kinacholengwa na chama.
Ninavyoona kwa sasa, sijaona hicho na hivyo vyama vyote vimekosa falsafa ya taifa.
Pili ni sera za muda mfupi. Hizi utekelezaji wake huwa wa muda mfupi na unatekelezwa kwa wakati. Hii pi imeonekana kabisa kuwa vyama vyetu vimekosa sera hizi.
Zaidi ya yote, imefanya vyama hivi vionekane havipo. Matokeo ya kuzidi kuporomoka kwa Chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA imeanzia hapa.
Sera za muda mfupi za chama zimekufa. Wanategemea matukio ya JPM ndo wao wasema chochote. Lakini ukiangalia majukwa yanayotumika kuyasema ya JPM yangfaa sana kuelezea yale wanayolenga.
Hapa ndo penye utata. Kila mtu amekuwa akiongea kwa jinsi anavyotaka. Mbowe amepotea sana kwa siku hizi na zaidi akipata muda analalamika zaidi kuliko kuelezea sera mbadala ya kinachoendelea.
Kuna watu wanasema, mikutano ya kisiasa ni sera ya chama. Si kweli, HAKI na inaweza kudaiwa kwa namna yoyote ila na ikawa wasimamie wanachoamini na wapeleke mahakamani. Cha ajabu ni pale wanapotishia kwenda mahakamani harafu hawaendi.
Hebu tuelezane, kuna mwenye kujua sera ya CHADEMA?????
Sera kikiwa ni kama Saccos au chama cha siasa kinachojipambanua na kuwakaribisha watuhumiwa mafisadi na kuwasafisha na kuua ajenda ya ufisadi au unamaanisha nini swali lakoSalaam kwenu,
Kila mtu anajua siasa ila si wote wanatambua mahitaji ya siasa za upinzani. Nimesema hili ili kila mtu atoe anavyoona juu ya hili. Sijaandika ili kufanya siasa za upande ila nimeangalia zaidi kwa upinzani, ili tupate mwanga wa nini kinaendelea ndani ya vyama vyetu.
Katika kitu ambacho sahizi kinasumbua watu wengi hasa wasomi ni sera na falsafa ya maendeleo ya vyama vya upinzani hapa Tanzania.
Sera inaweza kuwa ya muda mfupi na muda mrefu. Maranyingi sera za muda mrefu ndo zinazosaidia sana kukuwa kwa chama na kukuza makada wa chama. Hii ina maana kuwa hakuna kiongozi au mwanachama atasimama bila kuongea hicho kinacholengwa na chama.
Ninavyoona kwa sasa, sijaona hicho na hivyo vyama vyote vimekosa falsafa ya taifa.
Pili ni sera za muda mfupi. Hizi utekelezaji wake huwa wa muda mfupi na unatekelezwa kwa wakati. Hii pi imeonekana kabisa kuwa vyama vyetu vimekosa sera hizi.
Zaidi ya yote, imefanya vyama hivi vionekane havipo. Matokeo ya kuzidi kuporomoka kwa Chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA imeanzia hapa.
Sera za muda mfupi za chama zimekufa. Wanategemea matukio ya JPM ndo wao wasema chochote. Lakini ukiangalia majukwa yanayotumika kuyasema ya JPM yangfaa sana kuelezea yale wanayolenga.
Hapa ndo penye utata. Kila mtu amekuwa akiongea kwa jinsi anavyotaka. Mbowe amepotea sana kwa siku hizi na zaidi akipata muda analalamika zaidi kuliko kuelezea sera mbadala ya kinachoendelea.
Kuna watu wanasema, mikutano ya kisiasa ni sera ya chama. Si kweli, HAKI na inaweza kudaiwa kwa namna yoyote ila na ikawa wasimamie wanachoamini na wapeleke mahakamani. Cha ajabu ni pale wanapotishia kwenda mahakamani harafu hawaendi.
Hebu tuelezane, kuna mwenye kujua sera ya CHADEMA?????
Salaam kwenu,
Kila mtu anajua siasa ila si wote wanatambua mahitaji ya siasa za upinzani. Nimesema hili ili kila mtu atoe anavyoona juu ya hili. Sijaandika ili kufanya siasa za upande ila nimeangalia zaidi kwa upinzani, ili tupate mwanga wa nini kinaendelea ndani ya vyama vyetu.
Katika kitu ambacho sahizi kinasumbua watu wengi hasa wasomi ni sera na falsafa ya maendeleo ya vyama vya upinzani hapa Tanzania.
Sera inaweza kuwa ya muda mfupi na muda mrefu. Maranyingi sera za muda mrefu ndo zinazosaidia sana kukuwa kwa chama na kukuza makada wa chama. Hii ina maana kuwa hakuna kiongozi au mwanachama atasimama bila kuongea hicho kinacholengwa na chama.
Ninavyoona kwa sasa, sijaona hicho na hivyo vyama vyote vimekosa falsafa ya taifa.
Pili ni sera za muda mfupi. Hizi utekelezaji wake huwa wa muda mfupi na unatekelezwa kwa wakati. Hii pi imeonekana kabisa kuwa vyama vyetu vimekosa sera hizi.
Zaidi ya yote, imefanya vyama hivi vionekane havipo. Matokeo ya kuzidi kuporomoka kwa Chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA imeanzia hapa.
Sera za muda mfupi za chama zimekufa. Wanategemea matukio ya JPM ndo wao wasema chochote. Lakini ukiangalia majukwa yanayotumika kuyasema ya JPM yangfaa sana kuelezea yale wanayolenga.
Hapa ndo penye utata. Kila mtu amekuwa akiongea kwa jinsi anavyotaka. Mbowe amepotea sana kwa siku hizi na zaidi akipata muda analalamika zaidi kuliko kuelezea sera mbadala ya kinachoendelea.
Kuna watu wanasema, mikutano ya kisiasa ni sera ya chama. Si kweli, HAKI na inaweza kudaiwa kwa namna yoyote ila na ikawa wasimamie wanachoamini na wapeleke mahakamani. Cha ajabu ni pale wanapotishia kwenda mahakamani harafu hawaendi.
Hebu tuelezane, kuna mwenye kujua sera ya CHADEMA?????
Sera kikiwa ni kama Saccos au chama cha siasa kinachojipambanua na kuwakaribisha watuhumiwa mafisadi na kuwasafisha na kuua ajenda ya ufisadi au unamaanisha nini swali lako
Sera zako zipo ikulu ila Leo wanazipinga
Mkuu mi ni mwanachama ila hapo pananipa shida,nimejaribu hata kuwatafuta viongozi wangu wa juu wanieleweshe bila mafanikio,ila cha msingi tu ni kuwa unaweza kuwa na sera ila ukashindwa kuimplement,muhimu ni kuwa Cdm wanatoa changamoto kwa ccm na mimi ninachohitaji ni kuwa ccm wasijisahau wawe na mshidani wa karibu atakae wakimbiza na kuwafanya akili yao isilale,siku upinzani ukishinda nahamia Ccm.asante.
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app