Post assistant accountant nataka kujua take home ni ngapi?Je kuna some opportunities?Namaanisha fursa?kunaeleweka?Naomba kujuzwa.
Ni 327000/= take home, fursa ukikamata linyangumi linatoa rushwa.
Ni 327000/= take home, fursa ukikamata linyangumi linatoa rushwa.
Ni 327000/= take home, fursa ukikamata linyangumi linatoa rushwa.
Unajadili kiwango cha mshahara, je wewe una lipi la ziada kuleta mabadiliko kwenye taasisi hiyo? shame, NDIO WASOMI WETU HAO, kujadili mshahara kabla ya kufanya kazi
dhumuni langu la kusoma ni kutafuta pesa samahani hayo mengine yakwako.Tena kama una njaa katafute msosi ule we baba koma .Nchi ibadili wewe mimi natafuta pesa
Unajadili kiwango cha mshahara, je wewe una lipi la ziada kuleta mabadiliko kwenye taasisi hiyo? shame, NDIO WASOMI WETU HAO, kujadili mshahara kabla ya kufanya kazi
dhumuni langu la kusoma ni kutafuta pesa samahani hayo mengine yakwako.Tena kama una njaa katafute msosi ule we baba koma .Nchi ibadili wewe mimi natafuta pesa
Haaa haaa dada nimekupenda bureee umeniongezea siku za kuishi.