ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,280
- 4,236
Wana jukwaa habari ya asubuhi, kama kichwa kinavyojieleza.
Naomba kwa mwana Jf yeyote ambaye anajua hiki kiwanda kilipo naomba msaada wa kuelekezwa. Hiki ni kiwanda kinachotengeneza pombe zenye majina kama Boss, Ambiance na nyingine nyingi tu.
Naomba msaada wa kuelekezwa kilipo kwa maana ya kwamba, mimi nahitaji kufanya biashara ya hizi pombe. lakini changamoto ni kwamba, sehemu ya kuupata huu mzigo ndo imekuwa tatizo.
Maana nikichukua kwa salers wa kawaida kama mimi, itakula kwangu kwa maana ya faida itakuwa kidogo mno ama hamna kabisa. Ivyo nilionelea ni nyema, kama nitaweza kuchukua mzigo moja kwa moja kutoka kiwandani.
kwa maana ya kiwandani bei kidogo inakuwa chini na angalau inaruhusu kwa sisi wajasiriamali wadogo wadogo kupata kipato
Kwa mwenye msaada tafadhali naomba kuelekezwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kwa mwana Jf yeyote ambaye anajua hiki kiwanda kilipo naomba msaada wa kuelekezwa. Hiki ni kiwanda kinachotengeneza pombe zenye majina kama Boss, Ambiance na nyingine nyingi tu.
Naomba msaada wa kuelekezwa kilipo kwa maana ya kwamba, mimi nahitaji kufanya biashara ya hizi pombe. lakini changamoto ni kwamba, sehemu ya kuupata huu mzigo ndo imekuwa tatizo.
Maana nikichukua kwa salers wa kawaida kama mimi, itakula kwangu kwa maana ya faida itakuwa kidogo mno ama hamna kabisa. Ivyo nilionelea ni nyema, kama nitaweza kuchukua mzigo moja kwa moja kutoka kiwandani.
kwa maana ya kiwandani bei kidogo inakuwa chini na angalau inaruhusu kwa sisi wajasiriamali wadogo wadogo kupata kipato
Kwa mwenye msaada tafadhali naomba kuelekezwa.
Sent using Jamii Forums mobile app