Mwenye kujua kiundani

Mwenye kujua kiundani

umeanza kuwa nunda enh?AHAHAHHAHHAHAHHA mimi like ur innocense bana!
zile hujambo dada yangu mpendwa!habari za nyumbani?mimi mzima wa afya hofu na mashaka kwako!haya majibu ya aina hii mwachie Asprin .lol!
Hapa zinatakiwa za aje? sasa. alafu ukitaka ku mmention mtu unafanyaje vile...
 
Mhuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!! ukiona mtu mzima mamaaa aha, anaguna ujue kuna jamboooooooooo.....................?!
 
Hakuna umuhimu wowote ule na hasara zake ni kwamba huyo mpenzi mpya anaweza kukupiga chini akigundua una mawasiliano na X wako. Kama bado unampenda X basi mrudie na uachane na huyu mpya.



Je, kuna umuhimu wa kuwasiliana na x wako mara kwa mara (hazipiti siku mbili)ilhali uko kwenye mahusiano na mtu mwingine? Na nini faida na hasara ya kuwasiliana nae?
 
Last edited by a moderator:
Kasheshe ni sie tusio na ex sasa. Sijui tutawasaka waliokuwa wanatufukuzia zamani?

Ila hii ndo dawa ya mahusiano, unapa his own concotion anywe.
..mpenzi wako.mpya akiwasiliqna mara kwa mara na x wako utareact vipi? Hilo ndo jibu..............
 
we nae, sa kuna umuhimu gani wa kufanya hivyo wakati una mwingine? tuache tamaa jamani..je na huyo mwenzako naye akifanya hivyo we utajisikiaje? ..mkuki kwa nguruwe......
Je, kuna umuhimu wa kuwasiliana na x wako mara kwa mara (hazipiti siku mbili)ilhali uko kwenye mahusiano na mtu mwingine? Na nini faida na hasara ya kuwasiliana nae?
 
Mtu ambaye ushawahi kumpenda na ukampa nafasi moyoni huwa bado ana ile special seat ndani ya moyo wako...ni kama ilivyo kwa Rais wastaafu au viongozi wengine nyeti wa kiserikali...
Hivyo jifunze kuepuka ukaribu uliokithiri na wapenzi wako wa zamani maana muda si mrefu mtatia dosari kwenye mahusiano yenu mapya...
 
Dont my dia thus y u call hm "X", ur past...dont make past present u will worsen up things.dont be intouch with xes, um sure ur boyfrind wont like the idea..alafu kwanza wat do u chart?? may salam marachache chache..ingawa for me my x is my past um lukin for the present...
 
Back
Top Bottom