Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,599
- 1,566
Habari Wana board?
Nakumbuka miaka ya 2001-2002 nilipata kusoma Jarida la JWTZ.
Kuna Yale majarida yao ambayo nadhani yanatoka Kila baada ya muda Fulani.
Sasa Jarida hilo lilikuwa Na habari ya Afande Chacha ambaye inasemekana alifariki kwa ajali ya gari akiwa kwenye majukumu yake ya kazi.
Lakini maajabu ni kuwa alikaa mochwari kwa muda wa wiki nzima, Na sababu ya mazishi kucheleweshwa ni kuwa kuna ndugu yake alikuwa akisubiriwa Toka nchi za Magharibi..
Kwa ufupi huyu Bwana, maada ya kukaa mochwari kwa muda wa wiki, ikaja kugundulika kuwa hakufa.
Kama kuna mtu anaifahamu hii habari atupe nje ndani ya habari hii...
Karibuni..
Nakumbuka miaka ya 2001-2002 nilipata kusoma Jarida la JWTZ.
Kuna Yale majarida yao ambayo nadhani yanatoka Kila baada ya muda Fulani.
Sasa Jarida hilo lilikuwa Na habari ya Afande Chacha ambaye inasemekana alifariki kwa ajali ya gari akiwa kwenye majukumu yake ya kazi.
Lakini maajabu ni kuwa alikaa mochwari kwa muda wa wiki nzima, Na sababu ya mazishi kucheleweshwa ni kuwa kuna ndugu yake alikuwa akisubiriwa Toka nchi za Magharibi..
Kwa ufupi huyu Bwana, maada ya kukaa mochwari kwa muda wa wiki, ikaja kugundulika kuwa hakufa.
Kama kuna mtu anaifahamu hii habari atupe nje ndani ya habari hii...
Karibuni..