Mwenye kujua atujuze.

Mwenye kujua atujuze.

Mlimbo48

Senior Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
150
Reaction score
79
Hili tukio linalosambaa kwenye mitandao baada ya mechi ya yanga chanzo chake ni nini hasa? Mana yanga ilishinda, Vipi tena inadaiwa mtu wa yanga ampige kocha wa timu pinzani?
 
Hili tukio linalosambaa kwenye mitandao baada ya mechi ya yanga chanzo chake ni nini hasa? Mana yanga ilishinda, Vipi tena inadaiwa mtu wa yanga ampige kocha wa timu pinzani?
in fact ni tukio baya na la fedheha sana, lililofanyika wakati wa timu hiyo husika ikingia uwanjani.

ikithibitika pasina shaka yoyote kwamba ni tukio la kweli na sio la AI, basi ni tukio lisilo la kimchezo na hatua kali zaidi inafaa kuchukuliwa dhidi ya alietenda kosa hilo lakini pia kwa timu mwenyeji kuruhusu mashabiki wake kufanya vitu nonsense kama hivyo 🐒
 
Tukio ni kabla ya mechi kuanza,, na si hilo pekee kuna vurugu kubwa iliibuka wakati wachezaji wa Gaborone wanaingia kiwanjani kwa ajili ya kupasha misuli mabaunsa wa Yanga waliwavamia na zilipigwa ngumi haswa,,
 
Back
Top Bottom