DM nitakuelekeza inapo patikanaNimeanza rasmi kutumia tiba mbadala. Ninatafuta vitu vifuatavyo manjano,habatsoda,asali,mdalasini na Khurinjani. Tatizo siijui KHURINJANI!
Ninaomba mwenye picha yake anitumie!
JF imenisaidia sana upande wa tiba mbadala
Sio khurinjani bali ni Khulinjani.....Nimeanza rasmi kutumia tiba mbadala. Ninatafuta vitu vifuatavyo manjano,habatsoda,asali,mdalasini na Khurinjani. Tatizo siijui KHURINJANI!
Ninaomba mwenye picha yake anitumie!
JF imenisaidia sana upande wa tiba mbadala
Nashukuru kunifahamisha!Nilipata ya unga nikaitumia kama nilivyoelekezwa Ila bado sijapona matatizo ya tumboSio khurinjani bali ni Khulinjani.....
View attachment 2516620
Nashukuru,nimeipata tayariDM nitakuelekeza inapo patikana
Pole sana huyo aliye kufahamisha hiyo Khulinjani kuwa inatibu maradhi ya tumbo?kwani una vidonda vya tumbo wewe? Nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako.Nashukuru kunifahamisha!Nilipata ya unga nikaitumia kama nilivyoelekezwa Ila bado sijapona matatizo ya tumbo