Inawezekana basi... Maana hata ukichek menyu nzima huez ona hii offa sasakwa lugha ya biashara nilivyoelewa kifurushi cha bei rahisi zaidi kinauzwa shilingi 200 (hawakutaja mb unazopata ukilipa 200) na kifurushi cha bei ghali unapata gb 80 (hawajasema gb 80 zinauzwa shilingi ngapi)