ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,089
- 13,003
Wengine sio mahiri kwenye hiyo fani kama walivyo baadhi ya wanasheria,waalimu n.kPole mkuu kwa kushonwa hvyo....kila mtu ana ujuzi wake
Asante.
Wengine sio mahiri kwenye hiyo fani kama walivyo baadhi ya wanasheria,waalimu n.kPole mkuu kwa kushonwa hvyo....kila mtu ana ujuzi wake
Kila mtu kwenye profesion yake kuna machungu,hivi wewe unajua kazi ni moja tu yenye ugumu kwenye kozi yake,wanaochukua engineering wasemaje ukiachana na baadhi ya kozi za jeshi au usalama,hapo haujazungumzia kozi nyinginenyingine.We labda hujui hawa majamaa ambavyo wengine ni incompetent kabisa.Shame on them.Unaongea kwa kua hujui machungu ya Hii Kozi Tulia wewe
Kweli mkuu,wanashona mtu hadi akikufunulia hivi kama ni tumboni unaanza hadi kuogopa,yaani wengine wanashona vibaya sana.Ha ha ha ha daah mkuu kama viroba tena..!
Anaweza akawa na ufaulu mkubwa kukuzudi wewe,usikariri kua kila ambaye kasoma medical course kafaulu sana,wengine form four mna div. 4 ambazo hata ualimu wangewakatalia,mkaenda kuungaunga eti saa hz unasifuasifia,acha hizo.Ufaulu wako nishaujua
Huyo yawezekana kwenda kusoma zaidi hawezi ili awe specualist,yawezekana kaungaunga tu huyo,na bahati yake zamani watu hawakutilia mkazo masomo ya sayansi,yawezekana asingekua hapo kwani angeshindwa kwakutokus na vigezo.Hongera kwa kua na finest brain
Kumbe medical school inakupa kiburi hihihihi jitahidi ukaspecialize CVS sasa uvimbe kabsaa
Huyo yawezekana kwenda kusoma zaidi hawezi ili awe specualist,yawezekana kaungaunga tu huyo,na bahati yake zamani watu hawakutilia mkazo masomo ya sayansi,yawezekana asingekua hapo kwani angeshindwa kwakutokus na vigezo.Hongera kwa kua na finest brain
Kumbe medical school inakupa kiburi hihihihi jitahidi ukaspecialize CVS sasa uvimbe kabsaa
specualist ndo nn hiki kitu mkuu..????specialist na c specualist..Huyo yawezekana kwenda kusoma zaidi hawezi ili awe specualist,yawezekana kaungaunga tu huyo,na bahati yake zamani watu hawakutilia mkazo masomo ya sayansi,yawezekana asingekua hapo kwani angeshindwa kwakutokus na vigezo.
ahahahaha! hehehehe! huhuhuh!Uchungu wa kozi unahusiana vipi na alichocomment huyo mkuu
Yaani wewe ukariri past paper huko St nini nini medical college uje utibu watu hovyo hovyo kisa kozi chungu,si ungeenda kusomea kilimo cha maua
Medical School is for finest brains,kama unalia lia uchungu kasome vishazi vikurupushi
Bila shaka wewe ni AMO au CO.mrudi shule.muache kuwaonea wivu MD.Ukimpata uangalie ufaulu wake na ikiwezekana mpige interview kwa kutumia maexpert wa sekta ya afya,wengine ni bomu sana yanashona binadamu utadhani viroba.
Mimi siwezi kumwonea wivu MD,nawala mimi sio Clinical oficer wa nani,kikubwa ni ukweli usiopingika kua wengine hamko competent badala yake mnachezea miili ya watu tu badals ya hizo issue kumalizia cadavour.Mnaboa sana,na baadhi ya wananchi kwakua hawawajui vizuri wanakua wanawaheshimu kweli,kumbe ni incompetent kama incompetents wengine mfano kwenye kada ya sheria ambako kila wakili ni msomi lakini hawako competent baadhi yao,badala yake wanaoonyesha kua ni mawakili wasomi ni wachache kama Tundu et al.Bila shaka wewe ni AMO au CO.mrudi shule.muache kuwaonea wivu MD.
Nenda shule propaganda zako hazina tijaMimi siwezi kumwonea wivu MD,nawala mimi sio Clinical oficer wa nani,kikubwa ni ukweli usiopingika kua wengine hamko competent badala yake mnachezea miili ya watu tu badals ya hizo issue kumalizia cadavour.Mnaboa sana,na baadhi ya wananchi kwakua hawawajui vizuri wanakua wanawaheshimu kweli,kumbe ni incompetent kama incompetents wengine mfano kwenye kada ya sheria ambako kila wakili ni msomi lakini hawako competent baadhi yao,badala yake wanaoonyesha kua ni mawakili wasomi ni wachache kama Tundu et al.
Bwanamdogo wakwenda shule niwewe,mimi niko kwenye kada yangu na napambana na changamoto za kwenye field yangu,ntaenda kujiendeleza pale nitakapoona nahitaji kufanya hivyo.Nenda shule propaganda zako hazina tija
Ukasomee huna lolote ushuzi mtupu.kukalia propaganda azikuongezei chochote.alafu usionee kijiba waliokuzidi,uwe unapata changamoto ya kutaka kuwa kama wao ukasomee na sio kupiga majungu tuu.mxiuuuuBwanamdogo wakwenda shule niwewe,mimi niko kwenye kada yangu na napambana na changamoto za kwenye field yangu,ntaenda kujiendeleza pale nitakapoona nahitaji kufanya hivyo.
Mimi nasomea kada niliyoko nasio kada ya afya,usiwe narrow minded person,kwanza after few years yawezekana ukaja kuomba part-time kwenye ofisi zangu,we endelea kufanya hizo kazi bila umahiri wakati wenzako tuko huku ni mahiri kwenye fani zetu bado kidogo tufikie lengo.Ukasomee huna lolote ushuzi mtupu.kukalia propaganda azikuongezei chochote.alafu usionee kijiba waliokuzidi,uwe unapata changamoto ya kutaka kuwa kama wao ukasomee na sio kupiga majungu tuu.mxiuuuu
Aliyekuambia hii fani yangu nani.mi wala sipo huko sipendagi tuu watu wenye husuda kama wewe.mwenyewe unaonekana jobless ndo maana una muda wa kujibizana hukuMimi nasomea kada niliyoko nasio kada ya afya,usiwe narrow minded person,kwanza after few years yawezekana ukaja kuomba part-time kwenye ofisi zangu,we endelea kufanya hizo kazi bila umahiri wakati wenzako tuko huku ni mahiri kwenye fani zetu bado kidogo tufikie lengo.
Ulimjulia wapi?Superspecialist KATIGIRE daktari bingwa wa matusi
MUHASUlimjulia wapi?