Mwenye kuelewa mshahara wa customer care Vodacom na Airtel

Ukifanya kazi mwez mzima bila kutega wala kuumwa na kupokea simu 180nakuendelea kwa siku na bila kuwa na warnings na talk time iwe 2:30dk bac utajikuta unafikisha laki nne kasoro lakin ukiumwa siku moja tu jua unafikisha 3kasoro nimeacha kaz mwez ulipita full kugandamizwa


Acha uzembe....kijana...au fungua kampuni yako ...uajiri wafanyakazi wanaoumwa daily tuone.....wewe huwezi tinga mining kama Acacia,Petra's etc
 
Watanzania sisi ni watu wa ajabu sana...tunapenda sana mishahara mikubwa wakati utendaji wa kazi ni mbovu...
Nani atawapa mishahara wakati huko maofisini muda wote mnawaza kudinyana tu na kuacha kufanya kazi......utawakuta asubuhi ofisini wanabishana mpira kama wapo uwanja wa taifa....yaani zogo kama wapo shimoni kariakoo...Muda wote wanatongozana tu huku ufanisi wa kazi ukiwa zero....ndio maana wageni wanatudharau sana....WATANGANYIKA tubadilike....


Mkuu umeongea point Sana... yaani tuna shida kubwa Sana inayohitaji tubadilike....

Uwezo Wa akili zetu na mawazo yetu ni ujinga mtupu....

Kuna Uzi alianzishaga Nicholas naukubali Sana juu ya wafanyakazi Wa TZ.
 
Last edited by a moderator:
Huwa nikifikiria nina shida ya kupiga huduma kwa wateja huwa naugua. Kuna siku waliniwekea wimbo bila kuomba basi nikapewa namba na jamaa yng nikafanikiwa kuutoa sasa wakanitumia sms duh nilitoa maneno kama nawaona vile.
 
Watanzania sisi ni watu wa ajabu sana...tunapenda sana mishahara mikubwa wakati utendaji wa kazi ni mbovu...
Nani atawapa mishahara wakati huko maofisini muda wote mnawaza kudinyana tu na kuacha kufanya kazi......utawakuta asubuhi ofisini wanabishana mpira kama wapo uwanja wa taifa....yaani zogo kama wapo shimoni kariakoo...Muda wote wanatongozana tu huku ufanisi wa kazi ukiwa zero....ndio maana wageni wanatudharau sana....WATANGANYIKA tubadilike....

wewe ndo mtu wa ajabu una support ushuzi,na kama wa kudharariwa wa kwanza ni wewe,mpira+mapenzi ni sehemu ya maisha.
mshahara mkubwa una motivate mtu kufanya kazi kwa bidii na umakini.wewe unadhani 230 k utafanya nini kwa dar (nauli 400x2=800x30=24000 kwa njia moja,kodi 35000,chakula mchana na chai 3000x30=90000, chakula usiku 2000x30=60000,mawasikiano 500x30=15000,15000 umeme+maji kwa mwezi bado mengineyo kama kuvaa,kuumwa.
Pia mpira,,mapenzi ni sehemu ya maisha.acha
 
Hizo kampuni za udalali zilishapigwa marufuku nashangaa bado zipo na zinazidi kuendelea.
 
wewe ndo mtu wa ajabu una support ushuzi,na kama wa kudharariwa wa kwanza ni wewe,mpira+mapenzi ni sehemu ya maisha.
mshahara mkubwa una motivate mtu kufanya kazi kwa bidii na umakini.wewe unadhani 230 k utafanya nini kwa dar (nauli 400x2=800x30=24000 kwa njia moja,kodi 35000,chakula mchana na chai 3000x30=90000, chakula usiku 2000x30=60000,mawasikiano 500x30=15000,15000 umeme+maji kwa mwezi bado mengineyo kama kuvaa,kuumwa.
Pia mpira,,mapenzi ni sehemu ya maisha.acha

NANI ALIYEKUDANGANYA MSHAHARA UNA-MOTIVATE MTU KUFANYA KAZI ??? Muende shule mukasome muondoe ujinga
 
Watanzania sisi ni watu wa ajabu sana...tunapenda sana mishahara mikubwa wakati utendaji wa kazi ni mbovu...
Nani atawapa mishahara wakati huko maofisini muda wote mnawaza kudinyana tu na kuacha kufanya kazi......utawakuta asubuhi ofisini wanabishana mpira kama wapo uwanja wa taifa....yaani zogo kama wapo shimoni kariakoo...Muda wote wanatongozana tu huku ufanisi wa kazi ukiwa zero....ndio maana wageni wanatudharau sana....WATANGANYIKA tubadilike....

Kama unayafanya hayo ni wewe. Sisi tunapiga mzigo kwa dhati. Mimi nawadharau sana wageni maana they are not real professional.
 
Kama unayafanya hayo ni wewe. Sisi tunapiga mzigo kwa dhati. Mimi nawadharau sana wageni maana they are not real professional.
Kama wewe ni mchapakazi na unajituma kazini unastahili mshahara mkubwa na sio miongoni mwa hao niliowazungumzia mimi.........
 
Kwa hali hii gap litaendelea kuwa kubwa kwa tz na umaskini kupungua itabak kwny makaratac tuu. Kwanza kuwa cheap labor dhid ya makampuni ya kigeni, mtu unalipwa laki 2 kwa kaz ya masaa 12/day tena bachelor this is awkward. Lakini pia cc wenyewe hatupendani na wengi wetu tunaonekana kuwatetea hawa wanyonyaji dhid ya wa TZ wengine. Kama kweli tungekuwa hatufanyi kaz cdhani km hayo makampuni yangepata faida na kuendelea ku survive na kuzid kuongezeka cku adi cku.
 
wewe ndo mtu wa ajabu una support ushuzi,na kama wa kudharariwa wa kwanza ni wewe,mpira+mapenzi ni sehemu ya maisha.
mshahara mkubwa una motivate mtu kufanya kazi kwa bidii na umakini.wewe unadhani 230 k utafanya nini kwa dar (nauli 400x2=800x30=24000 kwa njia moja,kodi 35000,chakula mchana na chai 3000x30=90000, chakula usiku 2000x30=60000,mawasikiano 500x30=15000,15000 umeme+maji kwa mwezi bado mengineyo kama kuvaa,kuumwa.
Pia mpira,,mapenzi ni sehemu ya maisha.acha
umenifumbua macho mkuu
 
Wanavojushaua pale voda mlimani city utafikiri wanakomba mamilioni akipewa na galaxy na mkopo wa voda basi tena kutwaaa anashinda anachati hata wateja anasahau
 
Watanzania sisi ni watu wa ajabu sana...tunapenda sana mishahara mikubwa wakati utendaji wa kazi ni mbovu...
Nani atawapa mishahara wakati huko maofisini muda wote mnawaza kudinyana tu na kuacha kufanya kazi......utawakuta asubuhi ofisini wanabishana mpira kama wapo uwanja wa taifa....yaani zogo kama wapo shimoni kariakoo...Muda wote wanatongozana tu huku ufanisi wa kazi ukiwa zero....ndio maana wageni wanatudharau sana....WATANGANYIKA tubadilike....

Pamoja na yote haya ndugu KikulachoChako unafikiri ni sahihi kumlipa mtu 230,000 huku ukimtaka apokee simu 180! Tuwe fair bandugu 230,000 simu 180 kweli..? BTW unafikiri hao wa huduma kwa wateja hupata muda wa kufanya hayo unayoyasema? si wataishia kulipwa 50,000?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom