Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,813
- 8,662
ilo surf kama naliona ivi cc 3000! nawaacha kwanza wapite nikianza mosi mosi wanakaahMkuu fuel consumption kubwa ya gari hua inategemea vitu hivi acceleration yako i.e kama ule mshale wa acceleration unaendeshea kwenye 3-4 lazima utumie mafuta mengi, fuel filter, oil filter, service ya gari kwaio anza na uendeshaji wako wa gari, fanya service utaona mabadiliko mimi natumia Hilux Surf ya 3000CC ilikua inashinda nyingi na nilikua natumia 4.5km/l sasa hivi nimeirekebisha mambo mengi napata 7.3-7.5km/l mimi nipo mjini kiyoyozi 24/7