Wewe! Kufumaniwa sio Criminal offence kwa hapa Tz! Ni Civil case, unless uwe umefumaniwa kwenye nyumba ya huo mwenye mali either ke or me! Or uwe umemtorosha huyo mke wake, or huyo mke awe chini ya miaka 18! Or uwe umefanya na kosa jengine la uhalifu JOINTLY (In same transaction) na hilo fumanizi!
...
Hivyo basi, Mwenye mke/mume atakufungulia kesi ya Madai, ambapo utatakiwa kulipa fidia (unliquidated damages)
...
Ikumbukwe, hata Civil case mtuhumiwa anaweza kuwekwa gerezani (Civil Prison) if umeshindwa kulipa hiyo fidia and if huyo aliekushtaki kataka uwekwe gerezani! But aliekufunga (huyo aliekushtaki) atatakiwa kulipa (sio kukulipa!)
...
Kwamantiki ya maswali yako, inaonesha unacheza na mke wa mtu!
Nakushauri uachane nae, inaweza kheri if atakufunga kuliko uamuzi mwengine atakao uchukua! You never know, kila mtu na hasira zake! Kwa mfano nakushika mimi, sikupeleki poliri ng'o! Usiulize ningekufanyaje!