Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,706
- 5,124
Ta
Tatizo Unaongea Sana.Kwahyo kazi za shamba n za kiume ila 50/50 mnataka.
Tatizo Unaongea Sana.Kwahyo kazi za shamba n za kiume ila 50/50 mnataka.
Kuolewa uko tayari?maana nayo ni ajiraSiwezi… sijawai kulima wala hatuna mashamba kwetu
Halafu mimi ni wa kike
Naongea au naandika mkuu?Ta
Tatizo Unaongea Sana.
Yaani the way you write nimeshafahamu personality yako.Naongea au naandika mkuu?
Umechanganya kuquote mkuu, anaeomba kazi ni kadogo2 Sio mimi ila ushauri wako ni mzuri aufanyie kazi.Yaani the way you write nimeshafahamu personality yako.
Omba Kazi Kausha mambo hii natka hii sitaki unaonekana haupo serious
Kuna wakati utazitafuta lakini hutozipafa.Hizo za shamba achana nazo maana itachukua muda kujifunza kilimo na maelekezo mengi…
Njoo anizalie mtoto niwe nakulipa child support £20 per hour kwa masaa naneNatafuta kazi… ninapofanya kazi mkataba unaisha mwezi huu … ajira zimekuwa ngumu kila ukiomba una temwa
Nina elimu ngazi ya degree maendeleo ya jamii
Kama kuna mtu ana connection hata kuwa muhudumu wa tren SGR ama ukonda wa mabasi mimi niko tayari
Au kama kuna kazi yoyote halali nisaidiwe maisha magumu haswa binti kukaa bila ajira
Nawasilisha
Bahati mbaya unajibiwa na wenye tatizo kama lako, searching for connections. Hawa ni wazuri sana katika kukatishana tamaaNatafuta kazi… ninapofanya kazi mkataba unaisha mwezi huu … ajira zimekuwa ngumu kila ukiomba una temwa
Nina elimu ngazi ya degree maendeleo ya jamii
Kama kuna mtu ana connection hata kuwa muhudumu wa tren SGR ama ukonda wa mabasi mimi niko tayari
Au kama kuna kazi yoyote halali nisaidiwe maisha magumu haswa binti kukaa bila ajira
Nawasilisha
Sawa broUmechanganya kuquote mkuu, anaeomba kazi ni kadogo2 Sio mimi ila ushauri wako ni mzuri aufanyie kazi.
kubeba box unaweza?
Bahati mbaya unajibiwa na wenye tatizo kama lako, searching for connections. Hawa ni wazuri sana katika kukatishana tamaa
Njoo anizalie mtoto niwe nakulipa child support £20 per hour kwa masaa nane
Kuna wakati utazitafuta lakini hutozipafa.
Kuolewa uko tayari?maana nayo ni ajira
Sawa,all the best
Nimefurahi kuona kwa Sasa mapenzi hayakutesi tena umekomaa na kutafuta hela Safi sana.
Utakuta unaemwambia hivi nae jobless.....jf kuna mambo sana
Msomi unaogopaje kazi ?Sichagui kazi ila kilimo hapana