nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 6,478
- 11,169
Wana ofisi zao za kanda...Garda huwa wanatoa nafasi kuanzia Mwezi gani Mkuu
Dar, Arusha na Mwanza...
Kama uko kanda ya ziwa nenda Mwanza...
Kama uko kasikazini nenda Arusha...
Mashariki nenda Dar...
Sina taarifa sahihi kuhusu ajira zao kwasasa so ukitaka kujua, nenda ofisini kwao watakupa majibu mkuu...