BLESSED BOY
Member
- Sep 2, 2017
- 78
- 70
yeyote mwenye updates za hii recruitment agency (empower limited),,wasije wakawa matapeli wa mjini kama mjuavyo hali ya sasa ya uchumi mtaani sio nzuri sana hasa kwa sisi ambao bado ni wasaka ajira. wameniita kwenye interview baada ya kujisajili kupitia online, pia natakiwa kwenda na tsh 10,000 as a registration fee. kwa yeyote anaewajua anisaidie please