BLESSED BOY
Member
- Sep 2, 2017
- 78
- 70
- Thread starter
- #21
hatariiiiiiiiiii aiseeKuna dada nakumbuka 2013 ananifanyia interview, maswali anasoma, ukijibu anaangalia kama umepatia.
Nikamwambia bila hiko kitabu unaweza kumfanyia interviet MTU?
Maswali na post husika vilikuwa haviendani, mpaka nikamwambia acheni ubabaishaji, nilitegemea kuwa interviewed na mtu mwenye uelewa na post husika.
Niliondoka kabla interview kuisha. Sema kuna bosi wake alinipigia kuniuliza kwa nini sikumaliza interview, nikamwambia mnatuma graduate wa lugha ku-interview post ya wenye experience.