Mwenge wamtia matatani DC Mwanza

Mwenge wamtia matatani DC Mwanza

Mbona ni walimu tu ndio wanaosakamwa? Walimu mbona wanaonewa sana.
Ila hii ndio itakuwa kete ya kuwafanya kijan wapoteane km ANC.
Sidhan hao walioladhimishwa kulala kweny mwenge watathubutu kuipigia kijan tena.
 
Kwa nini inalazimu kukesha usiku kucha eti mwenge? Sherehe zikifanyika mchana usiku watu wakalala haiwezekani?
 
Vijana ndio ngome ya taifa, lakini kupeana uongozi bila ya on job experience tutasikia mengi sana. Hii inaitwa learn on your own utadhani ndio tumetoka kupata uhuru, sina shida na madaraka ya raisi lakini teuzi zingine lazima afutiwe for the sake of effective administration laws and purposeful selection process kwa wafanyakazi wote wa serikari ukitoa executive gov position.

Hawa vijana ni jokes sio makosa yao entirely its just that the entire succession planning is useless.
Pale patamu unatupia kaung'eng'e.
Ingekuwa Mwalimu ungefelisha sana wanafunzi wako kwa kutumia kiswanglish kwenye mantiki.
 
Hivi huo mwenge unaleta tija gani kwa Taifa?

Unalazimisha watu wakeshe kwenye limwenge ili iweje sasa? for whose benefit?

Huyo DC ni wa mwendo-kasi kabisa! Hivi hizi 'line of thinking' za namna hii, ni uoga? kutojiamini kwenye cheo? ama ukillaza?

Huwa nachoka sana!

-Kaveli-
 
Watuambie huo mwenge wa uhuru umezindua viwanda vingapi na ajira ngapi zimepatikana.
 
Sasa hapo mwenge umemtiaje matatani DC?.....mada nyingne....kuzielewa labda ushikishwe ukuta tuu Hamna namna!.
 
Badala ya kukazana na ujenzi wa viwanda wanahamasisha watu wakakeshe kulinda moto.
 
Mwenge ooo mwenge mbiombioo.mwenge tunaukimbiza mbiza mbiombiooo.jamani mwenge unahanasisha tanzania ya maviwandaaa
 
Mbona ni walimu tu ndio wanaosakamwa? Walimu mbona wanaonewa sana.
Ila hii ndio itakuwa kete ya kuwafanya kijan wapoteane km ANC.
Sidhan hao walioladhimishwa kulala kweny mwenge watathubutu kuipigia kijan tena.
Yani walimu ndo wamekua wahanga wa maamuzi ya kila anaejiona ana ubavu wa kutawala .
 
Wakurupukaji Classic Baby (WCB).
Hii lebo ya chibu wa chato inaudhi sana na singo (matamko) wanazo toa yeye na wasanii wake.
 
Kwa nini inalazimu kukesha usiku kucha eti mwenge? Sherehe zikifanyika mchana usiku watu wakalala haiwezekani?
Hahahah! Usituvunjie misingi ya Baba wa Taifa. Huu ni utamaduni wetu tuliojiwekea tangu enzi za uhuru tulikuwa kwny Mikesha hii muhimu hatukosi
 
Kilichobakia ni kuanza kuchapwa viboko wanaogoma kupokea mwenge kwa nyimbo. NCHI hii inatatizo mahala, sijataja MTU najisemea tu.
 
Yani walimu ndo wamekua wahanga wa maamuzi ya kila anaejiona ana ubavu wa kutawala .
Wengi wamesaidiwa kupata taaluma na kazi kwa utashi tu wa utawala wa wakati huo. " Nistiri nikustiri au kula uliwe"
Walimu wanatakiwa waulinde Mwenge kama serikal inavyolinda ajira zao japo wengi ni Failures wakutupwa
 
Na mna bahati yule muuza magari kura hazikutosha....leo hii madalali wa magari ndio wangekua wateule wake ndio mngetia akili.
 
Back
Top Bottom