Unafika home mke kakiwasha.Duuh, kazini umehangaika, usafiri unahangaika, kweli wabongo nafuu mtaipata mbinguni tu 🤣
Kuendesha pikipiki mjini nayo ni mtihaniMkuu,kuna vipikipiki vya kuchaji siku hizi,bei chee tu.hutajuta ukiwa nayo.
Kuzimu labda hakuna mbongo anaeipenda mbingu hakuna anaetaka kwenda kuimba kwaya tu muda wotekweli wabongo nafuu mtaipata mbinguni tu 🤣
Samia mitano tena!
Hujuma. Hakuna watu wanateseka kama wapanda mwendo kasi . Nawaonea huruma sana
Mbinguni kuna kusifu na kuabudu dailyDuuh, kazini umehangaika, usafiri unahangaika, kweli wabongo nafuu mtaipata mbinguni tu 🤣
Tuliambiwa mji utahamia hukuJengeni kigamboni mtakufa huko mbezi nyie kina masawe
😅😅😅Kibao kimegeukaHuwa mnatucheka sisi wa mikoani
HeeheheeUnafika home mke kakiwasha.
Ndo mnapokwamia hapo, mbezi hiyo mpaka kimara kalaga baho hata ukinipa chumba bure sikai. Too congestedTuliambiwa mji utahamia huku