Haijawahi kuwa hivyo. Kabla ya matatizo ya kiuchumi kwenye.miaka ya 1980 kulikuwa na sera ya fixed exchange rate. Dollar Karibu Sawa na Sh. 5 na Pound Sawa na Shillingi 20. Ikiwa na maana kuwa viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vilibaki vile vile bila kujali hali ya uchumi/soko. Baada ya kuingia IMF na nduguye World Bank sera ikabadilishwa na kuwa floating exchange rate pamoja na Shillingi kushushwa thamani (devaluation). Huo ukawa mwanzo wa Shilingi kuporomoka Kila kukicha.