Mwendo kasi sijui kinyonga

Mwendo kasi sijui kinyonga

Mm naona hata usimamizi sio mzuri, mfano watu wamejaa kituoni na gari zimepaki site , kukaaa kituoni muda mrefu, kuingia kwenye magari kama ng'ombe , yaani ni shida.
 
Hivi siku moja mkiamua mgome msipande mtembee kwa miguu from kimara to posta,mnadhani nini kitatokea!!!!!
 
Nunua gari yako au Kodi gari Private ule upepo wa A.C,umelipa nauli 650 unakuja kulialia hapa, Foolish

Sent using Jamii Forums mobile app

This is the most idiotic comment I have had a misfortune of reading. Kwa kuwa amelipa Shilingi 650 ndio apate huduma mbovu? Wewe ni primitive to the core, na kutokana na ulichokiandika hapa umethibitisha kuwa wewe ni mshamba hasa.
 
This is the most idiotic comment I have had a misfortune of reading. Kwa kuwa amelipa Shilingi 650 ndio apate huduma mbovu? Wewe ni primitive to the core, na kutokana na ulichokiandika hapa umethibitisha kuwa wewe ni mshamba hasa.
Foolish,unalipa 600 afu unataka treatment za high class,chukua uber au nunua gari yako,huo Ni usafiri wa umma usilazimishe treatment za Hali ya juu kwa pesa ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Foolish,unalipa 600 afu unataka treatment za high class,chukua uber au nunua gari yako,huo Ni usafiri wa umma usilazimishe treatment za Hali ya juu kwa pesa ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app

Narudia; huo ni ushamba - tena wa Kitanzania tu- kudhani au kuamini kuwa public transport means lazima ziwe uncomfortable. You most likely haven't ever gone outside the borders of this country ndio maana unaandika haya unayoyaandika. Na kama wewe ni ccm then it is a perfect fit like hand in glove.
 
Mkuu, wabongo ndo hatuelewi, yaani ustarabu ziro, kwani kama basi limejaa ni lazima upande? Vitu vingine vya kujiongeza na kutumia akili tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Utakaaa kituoni mpaka saa ngapi?
Labda kama muda siyo swalala msingi kwako

Hebu fikiria unasubiria gari kwa dakika 15-30
Hapo hapo usubiri lisilojaa utalipata wapi?

Kila sekunde abiria wanaingia kituoni!!
 
Yaani sisi ni mabwege sana " ... tunaburuzwa tu nakupelekwa kama ng'ombe

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mi naona hata ng'ombe wana afadhali! wanapangwa vizuri tu kwenye fuso kutoka Shinyanga na wana relax fuleeesh... lakini nikiwatazama wale binadamu walivyominyana kwenye yale magari daaaaah!!!! Inasikitisha sana!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mi naona hata ng'ombe wana afadhali! wanapangwa vizuri tu kwenye fuso kutoka Shinyanga na wana relax fuleeesh... lakini nikiwatazama wale binadamu walivyominyana kwenye yale magari daaaaah!!!! Inasikitisha sana!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ni kichekesho tosha ... kwakweli unaweza kutoka nyumbani ukiwa smart lakini unakuja kufika huko unapokwenda ukiwa unanuka Jasho sio la nchi hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom