Mtu mwingine ametoweka huko Arumeru mashariki ambae ni kada wa chadema, siku ya sita leo hajulikani alipo. Source 92.9 magic Tar 30.03.2012, fm saa 07: 45 Wtangazaji Meshack Nzoa na Orest Kawau
sasa kwa hasira ndio tunawamaliza kabisa, wanawaua ndugu zetu ili waende bungeni, halafu wakamwakilishe nani?
Hawa hawafai kabisa na jumapili tutawaonyesha kwamba hawafai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.