Mweehh YANAITWA MAKAVU LIVE

Mweehh YANAITWA MAKAVU LIVE

Wanaume saa ingine muwe mnayabana mioyoni.......yafuatayo ni maneno ya mkaka baada ya kuandamwa kuhusu utambulisho

"Ndo kwanza mna wiki 8 unaanza kumuuliza maswali kibao,ooh utanioa lini,lini unakuja kumuona mama..Mamako mwenyewe alisubiri Posa miaka 6 kutoka kwa babako,tena kwa heshima zote kwa kuvaa sketi za vitenge na kaniki ndefu hadi chini,we unaulizia ndoa kutwa unavaa vibwaya na sketi fupi huku umebetua nyonyo nje muda wote kama unanyonyesha MAKURUTA wa JKT halafu unataka ndoa..Haraka za nini kama unadoea Pilau ya Hitima kwa jirani,Tulia,Ndoa haiombwi na haiji ghafla kama Kifafa cha Mimba,Mwanaume ukimsuuza roho yake ataomba mwenyewe kuja kwa wazazi..Invest kugusa moyo wake na sio kuomba pete kama unaagiza wali kwa mamantilie!"
Mkipewa makavu live hamtaki... eti tuyabane moyoni... Tukiwaongopea ili mtoe mzigo mnalaumu, sasa tufanyeje na magenye yanatuhangaisha?
 
waambie hao ooooh wanarembua na sauti kabisa baby unakuja lini nyumbani wakati ndo wana wiki moja hehehehehe wa kuwowa wanakuja kirahisi rahisi hivyo.

alafu ukifunua na kufunika, anadai atii wanaume wa cku hizi hawafai kbs yaan....
 
Nina siku nyingi sijaletewa kadi za michango ya harusi
Hivi watu wako kwenye migomo au wamesusa? maana sielewi.
 
Hehehehe ya leo haina maji wala water...kavu liiive
 
of course mambo yanatakiwa yawekwe wazi,ujue kama usuke ama unyoe ,kuna waliokaa miaka kadhaa wakaja gundua ni maghumashi walijutaje???unaachia chance zinakujia kwa ajili ya mtu mmoja zandiki afu baadae unakuja gundua hadiserve moyo wako,lazima uzimie atiii,...:dizzy:
 
Wanaume saa ingine muwe mnayabana mioyoni.......yafuatayo ni maneno ya mkaka baada ya kuandamwa kuhusu utambulisho

"Ndo kwanza mna wiki 8 unaanza kumuuliza maswali kibao,ooh utanioa lini,lini unakuja kumuona mama..Mamako mwenyewe alisubiri Posa miaka 6 kutoka kwa babako,tena kwa heshima zote kwa kuvaa sketi za vitenge na kaniki ndefu hadi chini,we unaulizia ndoa kutwa unavaa vibwaya na sketi fupi huku
umebetua nyonyo nje muda wote kama unanyonyesha MAKURUTA wa JKT halafu unataka ndoa..Haraka za nini kama unadoea Pilau ya Hitima kwa jirani,Tulia,Ndoa haiombwi na haiji ghafla kama Kifafa cha Mimba,Mwanaume ukimsuuza roho yake ataomba mwenyewe kuja kwa wazazi..Invest kugusa moyo wake na sio kuomba pete kama unaagiza wali kwa mamantilie!"
Loooooolll

hii ni funga kazi

hapo dada lazma utoke bila kuaga
 
Kuulizia ndoa muhimu bibi weeh. Mume ni kijiwe town . Kuna siku unasanda anakuwa plan b. Ulizia ndoa kama fremu ya biashara. Na ikiwezekana negotiate and advertise lol. Marketing strategies zinahusika.
tatizo lenu mnaulizia ndoa baada ya kugawa papuchi. Hivi unapanga mpango mkakati katikati ya sera? Kwani mamake haonekani kabla hajaonjeshwa? Ebooo
 
Jamaa ni muwazi sana na ana upendo wa kweli kwa huyo mdada thats why kamwambia ukweli mdada ili abadilike na kuwa mke mwema. Finish
 
Wanaume saa ingine muwe mnayabana mioyoni.......yafuatayo ni maneno ya mkaka baada ya kuandamwa kuhusu utambulisho

"Ndo kwanza mna wiki 8 unaanza kumuuliza maswali kibao,ooh utanioa lini,lini unakuja kumuona mama..Mamako mwenyewe alisubiri Posa miaka 6 kutoka kwa babako,tena kwa heshima zote kwa kuvaa sketi za vitenge na kaniki ndefu hadi chini,we unaulizia ndoa kutwa unavaa vibwaya na sketi fupi huku umebetua nyonyo nje muda wote kama unanyonyesha MAKURUTA wa JKT halafu unataka ndoa..Haraka za nini kama unadoea Pilau ya Hitima kwa jirani,Tulia,Ndoa haiombwi na haiji ghafla kama Kifafa cha Mimba,Mwanaume ukimsuuza roho yake ataomba mwenyewe kuja kwa wazazi..Invest kugusa moyo wake na sio kuomba pete kama unaagiza wali kwa mamantilie!"

Ngoja hili jibu nilikariri nukta kwa nukta maana nime fall in love nalo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom