Mwee!!!kutana na wanawake wa iran maninja!

Mwee!!!kutana na wanawake wa iran maninja!

ameline

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
2,292
Reaction score
1,152
[h=3]MWEE!!!KUTANA NA WANAWAKE WA IRAN MANINJA![/h]
SIO WANAUME TU WANAOWEZA KUWA MANINJA, SASA KUTANA NA WANAWAKE WA IRAN MANINJA,KWELI DUNIA KUJIFUNZA HAKISHINDIKANI KITU!!!!!!
 
Ukioa huyo sipati picha hivyo vichapo vyake ukimletea zengwe.
 
Ukioa huyo sipati picha hivyo vichapo vyake ukimletea zengwe.

Maninja huwa wanakula kiapo kutopigana na watu wasio maninja labda tu pale inapobidi au anapokuwa kazini au kama ni lazima self defence iinvolve uninja!!
 
Maninja huwa wanakula kiapo kutopigana na watu wasio maninja labda tu pale inapobidi au anapokuwa kazini au kama ni lazima self defence iinvolve uninja!!

Mmmh hicho kiapo sidhani kama kitakuwa na nafasi kama ananyanyasika kwa mumewe.
Utapigwa yale mapigo ya sehemu muhimu tu, sio ile full combat
 
hao ndo safi kwa kuoa sasa...ukipita nae njiani vibaka wakikufata anawachapa afu na wewe unatia mkwara: huyo ni mke wangu tu..nikija na mimi ntawaua nyinyi..pumbafffff...!!! afu unamshika kiuno hao mnakula kona...heshima juu...!!lol..

Mkuu umenifurahisha sana
 
Duuh ndg yng kipimo na mm nkajifunze uninja kwanza ndio niweze kuchombeza
 
kuna mmoja nimempenda, nitaanzaje sasa? manake akikataa lazima anipe maumivu!
 
Sasa hao wamewezeshwa, wameweza au wamejiwezesha. Maana tz kuna msemo "wanawake wakiwezeshwa wanaweza"
 
Back
Top Bottom