ameline JF-Expert Member Jan 8, 2013 2,292 1,149 Apr 3, 2013 #3 Mmmm wenye magari hawana budi kuweka chuma kwenye madirisha hayo ili kunusuru vioo vyao hivyooo, poleni sana wakazi wa huko
Mmmm wenye magari hawana budi kuweka chuma kwenye madirisha hayo ili kunusuru vioo vyao hivyooo, poleni sana wakazi wa huko
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Apr 3, 2013 #5 Mtu wa Arachuga hawezi mziki huo akiingia atajikuta hana simu na nauli
Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Apr 3, 2013 #6 TIQO said: Mtu wa Arachuga hawezi mziki huo akiingia atajikuta hana simu na nauli Click to expand... Aisee unautani wa machalii wa R'chuga.
TIQO said: Mtu wa Arachuga hawezi mziki huo akiingia atajikuta hana simu na nauli Click to expand... Aisee unautani wa machalii wa R'chuga.
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,990 2,014 Apr 3, 2013 #7 Kwa kweli usafiri wa kutoka posta, Ubungo kwenda Gongolamboto unachangamoto sana.Mara nyingi nilikuwa nalipa nauli mara mbili ili nipate nafasi ya kukaa.
Kwa kweli usafiri wa kutoka posta, Ubungo kwenda Gongolamboto unachangamoto sana.Mara nyingi nilikuwa nalipa nauli mara mbili ili nipate nafasi ya kukaa.