Mwauwasa wanatumika kisiasa

IKEKERA

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2019
Posts
1,348
Reaction score
1,705

Kukitangazwa TU maandamano basi wao huanza kusitisha huduma ya maji kwa kusingizia TANESCO..Lengo lao kuwatia hasira wananchi waichukie serikali Yao Kisha watoke waandamane ..
Walianza hii michezo tokea mwaka Jana kuelekea uchaguzi mkuu...
Hapo TANESCO wamekanusha kuhusika
 

Attachments

  • Screenshot_20260614-113447.png
    767.6 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…