blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,431
- 12,586
Kwa masikitiko namuanzishia uzi huu NGULI wa hip hop TZ..anaepotea ktk game na kutuachia huzuni kubwa mashabik wake...
Amekua akitoa ngoma zisizo na maana recently ila ni jina lake tu na heshima anayopewa na RADIO PRESENTERS ndio vyambeba.
Kilichmifanya nitupie hii ili kumshtua awe makini ni huu wimbo wake mpya ''HELLOW" kafanya kwa DULLY...mbovu,sauti mbovu . Kifupi jamaa karud hatua milioni nyuma.. Utakubaliana nami ukiskia ngoma zake za zamani
Sasa ndugu.. Nini kimemkuta huyu jamaa?
Au nae anataka jiunga na masharobaro!? Au kukurupuka? Au karidhka ndo maana hayupo serious?
R.I.P JAY.
Nawasilisha.
Amekua akitoa ngoma zisizo na maana recently ila ni jina lake tu na heshima anayopewa na RADIO PRESENTERS ndio vyambeba.
Kilichmifanya nitupie hii ili kumshtua awe makini ni huu wimbo wake mpya ''HELLOW" kafanya kwa DULLY...mbovu,sauti mbovu . Kifupi jamaa karud hatua milioni nyuma.. Utakubaliana nami ukiskia ngoma zake za zamani
Sasa ndugu.. Nini kimemkuta huyu jamaa?
Au nae anataka jiunga na masharobaro!? Au kukurupuka? Au karidhka ndo maana hayupo serious?
R.I.P JAY.
Nawasilisha.