Mkuu nilikuwaga sijui Meditation ni nini na nilikuwaga naifanya kumbe sijui kama nafanya meditation,nilikuwa nataka hadi kujua zaidi ila sikumpata mtu wa kunielekeza vizuri,aisee umenifundishs vizuri mkuu,naomba uwe unani tag maana nashindwa ku subscribe natumia PC,but nimefurahi kujua hili