Mwanzo Mwisho

Mwanzo Mwisho

kalukamise

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2011
Posts
683
Reaction score
191
Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku
hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari
bingwa sasa!

Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram bwanaa.

Rweyongeza: Aaa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa
warioshindwa na madaktari bingwa!

Rugaimukamu: Mmmmhh

(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )

Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu,
sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa,
yeye ni nani?

Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimbaga makaburi!






 
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
hahahahahaha

Nalog off
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom