thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,797
- 4,688
Gordon Moore amefariki ijumaa 24.03.2023 akiwa na miaka 94.
Moore alianzisha intel mwaka 1968 akiwa na mwenzake Robert Noyce.
Kabla Moore aliwahi kufanya KAZI kwenye kampuni ya Shockley semiconductor kampuni ya mvumbuzi wa transistor na baadae wakamsaliti kisha kuanzisha kampuni ya Fairchild semiconductor wakiwa watu nane.
Na baadae wengine wakajitoa na kuanzisha kampuni kama Advanced Micro Devices (AMD) na integrated electronic (intel).
Miaka hiyo silicon valley ilitawaliwa na semiconductor. Intel ni kampuni ya Kwanza kuunda general purpose microprocessor.
Moore alikuwa ni PhD holder wa chemistry.
Moore alianzisha intel mwaka 1968 akiwa na mwenzake Robert Noyce.
Kabla Moore aliwahi kufanya KAZI kwenye kampuni ya Shockley semiconductor kampuni ya mvumbuzi wa transistor na baadae wakamsaliti kisha kuanzisha kampuni ya Fairchild semiconductor wakiwa watu nane.
Na baadae wengine wakajitoa na kuanzisha kampuni kama Advanced Micro Devices (AMD) na integrated electronic (intel).
Miaka hiyo silicon valley ilitawaliwa na semiconductor. Intel ni kampuni ya Kwanza kuunda general purpose microprocessor.
Moore alikuwa ni PhD holder wa chemistry.