kumbe wamejitakiaKwa taarifa zisizo rasmi kutoka kwa watu wa ene hilo ni kwamba umekuwepo utaratibu wa bwana samaki na polisi kwenda kwenye maeneo hayo kuchukua hongo kutoka kwa wavuvi na siku wakikosa hela basi hukamata samaki na kuweka bughudha kwa wavuvi, sasa hii walienda na wakaomba Pesa 50,000 kwa kila mvuvi na wavuvi wakawaambia bado hawajapata ndipo mzozo ulipoanza na polisi kuanza kutumia vitisho kama walivyozoea. Mzozo ukazidi polisi wakaanza kutumia mabomu ya machozi yakaisha,wakaanza kutumia risasi za moto. Ila ikaonekana mambo yanaanza kuwazidia huku tayari watu watatu wakiwa wameishafariki wakambilia kwenye mitumbwi yao ya injini na kwenye harakati hizo ndipo afisa uvuvi akadondoka kwenye maji kabla hajapanda na kushambuliwa hadi kifo. polisi wafanye uchunguzi wa askari na baadhi ya maafisa wa polisi kwenye mialo kabla hawajaenda kuwaadhibu wananchi wa kisiwa cha Siza maana najua nao wataenda kwa style ile ile iliyoleta tatizo
Wanaaza kuumbuka mchana kweupe. Ila haitakuwa jambo la kushangaza kusikia risasi zilipigwa angani halafu zenyewe zikaghairi zikarudi na kabla ya kutua chini zikabadilisha mwelekeo na kuwafuata marehemu kwa kasi ya ajabu.Kwa taarifa zisizo rasmi kutoka kwa watu wa ene hilo ni kwamba umekuwepo utaratibu wa bwana samaki na polisi kwenda kwenye maeneo hayo kuchukua hongo kutoka kwa wavuvi na siku wakikosa hela basi hukamata samaki na kuweka bughudha kwa wavuvi, sasa hii walienda na wakaomba Pesa 50,000 kwa kila mvuvi na wavuvi wakawaambia bado hawajapata ndipo mzozo ulipoanza na polisi kuanza kutumia vitisho kama walivyozoea. Mzozo ukazidi polisi wakaanza kutumia mabomu ya machozi yakaisha,wakaanza kutumia risasi za moto. Ila ikaonekana mambo yanaanza kuwazidia huku tayari watu watatu wakiwa wameishafariki wakambilia kwenye mitumbwi yao ya injini na kwenye harakati hizo ndipo afisa uvuvi akadondoka kwenye maji kabla hajapanda na kushambuliwa hadi kifo. polisi wafanye uchunguzi wa askari na baadhi ya maafisa wa polisi kwenye mialo kabla hawajaenda kuwaadhibu wananchi wa kisiwa cha Siza maana najua nao wataenda kwa style ile ile iliyoleta tatizo
Kwa taarifa zisizo rasmi kutoka kwa watu wa ene hilo ni kwamba umekuwepo utaratibu wa bwana samaki na polisi kwenda kwenye maeneo hayo kuchukua hongo kutoka kwa wavuvi na siku wakikosa hela basi hukamata samaki na kuweka bughudha kwa wavuvi, sasa hii walienda na wakaomba Pesa 50,000 kwa kila mvuvi na wavuvi wakawaambia bado hawajapata ndipo mzozo ulipoanza na polisi kuanza kutumia vitisho kama walivyozoea. Mzozo ukazidi polisi wakaanza kutumia mabomu ya machozi yakaisha,wakaanza kutumia risasi za moto. Ila ikaonekana mambo yanaanza kuwazidia huku tayari watu watatu wakiwa wameishafariki wakambilia kwenye mitumbwi yao ya injini na kwenye harakati hizo ndipo afisa uvuvi akadondoka kwenye maji kabla hajapanda na kushambuliwa hadi kifo. polisi wafanye uchunguzi wa askari na baadhi ya maafisa wa polisi kwenye mialo kabla hawajaenda kuwaadhibu wananchi wa kisiwa cha Siza maana najua nao wataenda kwa style ile ile iliyoleta tatizo
Kwa hiyo polisi walienda kuchukua rushwa wakiwa na mabomu ya machozi kabisa! Leta taarifa nyingine asee hii hapanaKwa taarifa zisizo rasmi kutoka kwa watu wa ene hilo ni kwamba umekuwepo utaratibu wa bwana samaki na polisi kwenda kwenye maeneo hayo kuchukua hongo kutoka kwa wavuvi na siku wakikosa hela basi hukamata samaki na kuweka bughudha kwa wavuvi, sasa hii walienda na wakaomba Pesa 50,000 kwa kila mvuvi na wavuvi wakawaambia bado hawajapata ndipo mzozo ulipoanza na polisi kuanza kutumia vitisho kama walivyozoea. Mzozo ukazidi polisi wakaanza kutumia mabomu ya machozi yakaisha,wakaanza kutumia risasi za moto. Ila ikaonekana mambo yanaanza kuwazidia huku tayari watu watatu wakiwa wameishafariki wakambilia kwenye mitumbwi yao ya injini na kwenye harakati hizo ndipo afisa uvuvi akadondoka kwenye maji kabla hajapanda na kushambuliwa hadi kifo. polisi wafanye uchunguzi wa askari na baadhi ya maafisa wa polisi kwenye mialo kabla hawajaenda kuwaadhibu wananchi wa kisiwa cha Siza maana najua nao wataenda kwa style ile ile iliyoleta tatizo
Watu hao wameuawa katika vurugu kati ya Wananchi wakazi wa kisiwa cha Siza na Askari wa Jeshi la Polisi
Afisa huyo wa Kanda ya Ukerewe ameuawa baada ya kupigwa na wananchi wenye hasira kali
Mpaka sasa chanzo cha vurugu hizo hakijawekwa wazi
Nani angekulinda. Acha utotoNashangaa hawa Wananchi kwa nini hawakumaliza POLISI hata mmmoja, wametuangusha sana.
Nani angekulinda. Acha utoto
Kwa taarifa zisizo rasmi kutoka kwa watu wa ene hilo ni kwamba umekuwepo utaratibu wa bwana samaki na polisi kwenda kwenye maeneo hayo kuchukua hongo kutoka kwa wavuvi na siku wakikosa hela basi hukamata samaki na kuweka bughudha kwa wavuvi, sasa hii walienda na wakaomba Pesa 50,000 kwa kila mvuvi na wavuvi wakawaambia bado hawajapata ndipo mzozo ulipoanza na polisi kuanza kutumia vitisho kama walivyozoea. Mzozo ukazidi polisi wakaanza kutumia mabomu ya machozi yakaisha,wakaanza kutumia risasi za moto. Ila ikaonekana mambo yanaanza kuwazidia huku tayari watu watatu wakiwa wameishafariki wakambilia kwenye mitumbwi yao ya injini na kwenye harakati hizo ndipo afisa uvuvi akadondoka kwenye maji kabla hajapanda na kushambuliwa hadi kifo. polisi wafanye uchunguzi wa askari na baadhi ya maafisa wa polisi kwenye mialo kabla hawajaenda kuwaadhibu wananchi wa kisiwa cha Siza maana najua nao wataenda kwa style ile ile iliyoleta tatizo
Polo tueleze mkuu, ila hata huyo kasema kwa "taarifa zisizo rasmi".Dada umeandika kiushabiki sana, embu tuulize tuliokuwepo kwenye tukio.
hakuna haja ya kuuliza we tuambie ilikuwajeDada umeandika kiushabiki sana, embu tuulize tuliokuwepo kwenye tukio.
Dada umeandika kiushabiki sana, embu tuulize tuliokuwepo kwenye tukio.