jiwe la maji
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 1,062
- 702
Nahisi watawala wengi wa kiafrika hurundika karibu pato lote la taifa sehemu ambapo wazungu/wafadhiri wanapofikiaga pindi wanapotembelea nchi husika ili kutaka kuwaaminisha kama ile misaada wanayotoa inatumika vizuri.Wenzetu mfano USA kila Jimbo linapambana na hali yake , hii inasaidia kila mkoa ungebuni vyanzo vya kupata mapato.
Mfano hivi yule mtawala alikuwa na lengo gani la kupinga kuwa watu wa Mwanza walikuwa wanashindwa kununua samaki badala yake wakawa wanakula mapanki. Tena si bora kipindi kile tulikuwa tunaweza kupata hayo mapanki, siku hizi nirahisi zaidi kupata kilo ya nyama kuliko hilo panki, leo hii panki ni dhahabu.
Nilisikia kiongozi mmoja wa Amerika siku alipotembelea Tanganyika kule Dar ombaomba wote walisafishwa mjini sasa nini lilikuwa lengo.