Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Mkoa wa Mwanza, umekuwa wa kwanza kitaifa kwa ku-register ukuaji wa kasi wa pato lake kwa mwaka hadi kufikia asilimia 18.9% kwa mwaka 2016 huku ikifuatiwa na Mikoa ya Mtwara - 2.70%; Lindi- 1.96% na Rukwa - 3.60%.
Aidha, Mkoa wa Mwanza umeendelea kushikilia nafasi ya pili nyuma ya Dar kwa kuchangia kiwango kikubwa kwenye pato la Taifa kwa kuingiza Trilioni 10 nyuma ya Dar yenye trilioni 17.6.
Hiyo ni dalili njema ya neema siku zijazo kwa Mwanza ambao baada ya kuzorota kwa kasi kubwa kwa sekta ya uvuvi, umekuwa ukipitia kipindi kigumu kiuchumi kwenye miaka ya 2010s.
Hata hivyo, kutokana na Mkoa huo kuwa "distributing centre" ya Mikoa nane (8) ya Kanda ya Ziwa na Magharib, imeendelea kufanya Mkoa kunawiri kutokana na biashara hiyo.
Kutokana na mazingira rafiki na shindani yanayojengwa sasa na Serikali, ni wazi Mkoa huo utaendelea kukua kiuchumi hasa baada ya kuwepo jitihada kubwa za Serikali kukuza sekta ya viwanda.
Aidha, Mkoa wa Mwanza umeendelea kushikilia nafasi ya pili nyuma ya Dar kwa kuchangia kiwango kikubwa kwenye pato la Taifa kwa kuingiza Trilioni 10 nyuma ya Dar yenye trilioni 17.6.
Hiyo ni dalili njema ya neema siku zijazo kwa Mwanza ambao baada ya kuzorota kwa kasi kubwa kwa sekta ya uvuvi, umekuwa ukipitia kipindi kigumu kiuchumi kwenye miaka ya 2010s.
Hata hivyo, kutokana na Mkoa huo kuwa "distributing centre" ya Mikoa nane (8) ya Kanda ya Ziwa na Magharib, imeendelea kufanya Mkoa kunawiri kutokana na biashara hiyo.
Kutokana na mazingira rafiki na shindani yanayojengwa sasa na Serikali, ni wazi Mkoa huo utaendelea kukua kiuchumi hasa baada ya kuwepo jitihada kubwa za Serikali kukuza sekta ya viwanda.