Kiokotee
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,674
- 2,216
Kumbe pale ofisini kwenu wanachaji 60000/- ni wezi,Juzi waliniibia poa tu.Panda bus la Ally's,nauli ni sh 50000,kutoka mwanza mpaka dar.
Kumbe pale ofisini kwenu wanachaji 60000/- ni wezi,Juzi waliniibia poa tu.Panda bus la Ally's,nauli ni sh 50000,kutoka mwanza mpaka dar.
Hiyo mijamaa imekaa kipigaji,tajiri yao hana taarifa.Kumbe pale ofisini kwenu wanachaji 60000/- ni wezi,Juzi waliniibia poa tu.
Nauli si zimepanda?Kumbe pale ofisini kwenu wanachaji 60000/- ni wezi,Juzi waliniibia poa tu.
Kwani mtoa Uzi kauliza lini?Nauli si zimepanda?
Ahsante kwa Taarifa!Hiyo mijamaa imekaa kipigaji,tajiri yao hana taarifa.
Zikiendeshwa taratibu,Mwendo wa Kinyonga... Safari ya Mwanza- Dar ni ndefu inachosha.Kati ya mabasi said ya 40 kutoka mwanza au yanayopitia Mwanza umeona la Ally's tu? Halafu basi zenu zina mwendo mkali na rafu nyingi sana barabarani. Waonyeni madereva wenu waache hizo tabia.
Mimi ni mteja wenu sugu, natarajia kuzikacha.
drive la kwako tu.Uende mwendo unao taka.Soma ulichoandika ujione ni mjingaKwano mtoa Uzi kauliza lini?
Namiliki baiskeli tu huku kwetu Kadoto njiapanda ya kwenda Maswa na Bariadi ukitokea Kwimba. Gari ndoto kuu kwangu, hataZikiendeshwa taratibu,Mwendo wa Kinyonga... Safari ya Mwanza- Dar ni ndefu inachosha.
Zikiendeshwa kwa kuwahi,Mwendo wenu mkali,mpaka roho inataka kutoka.
#Mkuu kuepusha kero hizodrive la kwako tu.Uende mwendo unao taka.


ka-ist, virtz,crown na jamii zote za baby walker sina.Anajua mambo ni Ally's tu.Kwani kampuni ipo 1. Achague usafiri wa kampuni nyjngine.
Ndio mpige cha just away wasioelewa? LATRA ikiweka mkazo wa nauli sahihi mnaanza kulia lia tu.Nauli si zimepanda?
Umeamka nazo nini!Ndio mpige cha just away wasioelewa? LATRA ikiweka mkazo wa nauli sahihi mnaanza kulia lia tu.
Kama Kama mi Ni mjinga we Fala kabisa unakomaa na Typing errr!Soma ulichoandika ujione ni mjinga
Kama Kama mi Ni mjinga we Fala kabisa unakomaa na Typing errr!
Kumbe pale ofisini kwenu wanachaji 60000/- ni wezi,Juzi waliniibia poa tu.
Nauli si zimepanda?
Kwani mtoa Uzi kauliza lini?