Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,943
dah maskini ndege
Walitaka kuunga mkono juhudi kumbe sio yenyewe
SAD
Walitaka kuunga mkono juhudi kumbe sio yenyewe
SAD
Watu tuna uzalendo sanaIngekuwa Bombardier mbona huu uzi ungekuwa una page 200
Hii nchi Magufuri ishamshinda bora tumpe Membe, haiwezekani ndege waingie uwanjani na serikali ipo
Precision imekumbana na kundi la ndege mchana huu ilipokua ikitua Mwanza.
View attachment 961899View attachment 961900View attachment 961901View attachment 961902View attachment 961903View attachment 961904
Nikweli kabisa hakika ni jambo la kumshukuru mungu. maana kama hili tatizo lingetokea wakati ndege ikiwa angani sidhani kama mfumo wa taili ungefanya kazi vizuri.Bird strike da ndio uzuri wa propeller engine ingekua zile jet engines tungekua tunaongea mengine saizi
Mandege john yanazubaazubaaa kama mwenzao wanaoitana wajinaDuh yana uhusiano gani na John mkuu
Maana umesema chato yapo pia!
Hata bila injini inapaaa tu mbona!!Mkuu bombardier ni ndege salama zaidi inaweza kupaa na injini moja na mkatua salama kabisa
🏃🏃 haiwezekani Apia!!!Mandege john yanazubaazubaaa kama mwenzao wanaoitana wajina
Baada ya kuzipanda nimeshaprove!! Ziko stable huwezi aminiMkuu bombardier ni ndege salama zaidi inaweza kupaa na injini moja na mkatua salama kabisa
Ingekuwa bomba dia saa hivi bendera zinapepea nusu mlingotiLo Mungu mkubwa ameepusha balaa
Umeona like yangu huko?Ingekuwa Bombardier mbona huu uzi ungekuwa una page 200
😂😂😂😂Hii nchi Magufuri ishamshinda bora tumpe Membe, haiwezekani ndege waingie uwanjani na serikali ipo
AmenBora siyo bombardier, Maana ufipa wangejazana kutukana kila tusi dhidi ya rais.
Ashukuriwe Mungu kwa wema wake.
Hii nchi Magufuri ishamshinda bora tumpe Membe, haiwezekani ndege waingie uwanjani na serikali ipo
Mbona umesha comment tayari?Sisi ambao hatuja wahi kupanda ndege, tuna comment wapi...!!??