CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
wadau wenye data, hebu tumwagieni hapa. cjui ni mhe. gani kaja yan folen kweli. saa nzima nipo kwenye daladala et twasubiri mh. apite. kha inabore kweli. . . .
thnx b52, yan hii misafara inaboa kweli. haya enjoy urself. . . mwenzio moyo mpweke laadhidhi sobhuza anatumikia ban!
Hahahahaa pole sana charmingladythnx b52, yan hii misafara inaboa kweli. haya enjoy urself. . . mwenzio moyo mpweke laadhidhi sobhuza anatumikia ban!
Huku Moshi ni shughuli, Mh Bilal alikuwepo jana kufungua wiki ya Mazingira, kesho anakuja JK kufunga! Kila idara pilika kibao kesho watumishi wote wanatakiwa uwanjani. Hii kali huko hospitali ya mkoa wametangaziwa wote wawepo uwanjani, huduma sijui itakuwaje